Uwanja wa Simba kuitwa “Arena” sio sawa

Arena-

a level area surrounded by seating, in which sports, entertainments, and other public events are held.
 
Nawakumbusha tena Arsenal na Man City wameingia mikataba na wadhamini Fly Emirates na Etihad majina yao kutumika kwenye viwanja vyao.
 
Kwa kifupi arena ni uwanja wa ndani.
 
Kaangalia muvi ya spartacus huyo
 
Mengine Acha Tumezee Mleta Mada Kwa Hili Una Lako Jambo Siyo Bure. Ungejikita Kwenye Kuisaidia Hasa Hasa Yanga. Arena Haina Tatizo Lolote Labda Unakusudia Vinginevyo
 
Ni wivu tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…