Uwanja wa Sokoine Mbeya: Prison Tanzania 1 - 3 Yanga Afrika

Eti Refa anapigwa kichwa na Dante na anachekelea tu.
Hamna kadi wala kada.
Kweli hii timu ni ya Wananchi, na inambelekewa ili ichukuwe kombez.
Mikia mnatia huruma sana. TZ prisons wamekubali kichapo lkn nyie mnalialia utafikiri ndo mliocheza.
Huyo refa kupigwa kichwa kumechangiaje ktk ushindi wa yanga yetu?
Haya waandikien Tz prisons ili waipeleke Tff kabla muda haujaisha
 
Eti Refa anapigwa kichwa na Dante na anachekelea tu.
Hamna kadi wala kada.
Kweli hii timu ni ya Wananchi, na inambelekewa ili ichukuwe kombez.
Mikia mnatia huruma sana. TZ prisons wamekubali kichapo lkn nyie mnalialia utafikiri ndo mliocheza.
Huyo refa kupigwa kichwa kumechangiaje ktk ushindi wa yanga yetu?
Haya waandikien Tz prisons ili waipeleke Tff kabla muda haujaisha
 
Mikia mnatia huruma sana. TZ prisons wamekubali kichapo lkn nyie mnalialia utafikiri ndo mliocheza.
Huyo refa kupigwa kichwa kumechangiaje ktk ushindi wa yanga yetu?
Haya waandikien Tz prisons ili waipeleke Tff kabla muda haujaisha
Chikupe alitakiwa apewe umeme mapema sana, hana nidhamu ata kidogo, leo refa kawabeba mno, nibebe fc.
 
Kaka unalikumbuka tukio LA Zidane na Marco Materazzi? Zidane na umaarufu wake kipindi hicho alimcharaza MTU kichwa, ili in moja ya matukio ya kawaida kutokea kwenye soka. Huwezi jua labda yule mchezaji kamdhihaki Ngassa kwa matusi, Ngassa kama binadamu wa kawaida kashindwa kukontrol hasira, kama ilivyotokea kwa zizzou henzi hizo. Hiyo ni case study ya ukweli, kilichotokea Leo kwa Ngassa kimewahi kutokea sana kwenye soka. Ila alichofanya Mchezaji was Tz Prison ndiyo kipya kabisa, sidhani kama kiliwahi tokea.
 
Mkuu kyata Ngasa hakudhihakiwa kwa namna yoyote ile bali mchezaji wa prison alirudisha mpira nyuma baada ya yanga kupata foul wakati huo yanga ipo nyuma kwa goli moja hivyo Ngasa akapaniki, mfano wako ni sahihi ila scenario ndio mbili tofauti.
 
Mkuu kyata Ngasa hakudhihakiwa kwa namna yoyote ile bali mchezaji wa prison alirudisha mpira nyuma baada ya yanga kupata foul wakati huo yanga ipo nyuma kwa goli moja hivyo Ngasa akapaniki, mfano wako ni sahihi ila scenario ndio mbili tofauti.

Ndugu yangu ulishawahi kucheza mpira au kuongoza kwenye mpira??? Uwanjani kuna mambo mengi sana zaidi ya unayoyaona kwa macho...mle uwanjani mna matusi ya 'kutisha' ukiacha kejeli za hapa na pale...Nina hakika Ngasa aliambiwa 'neno' na yule mchezaji na ambaye alidondoka chini kama amepigwa risasi..of course Ngasa alikosea kwa kurudishia 'tusi' kwa kichwa, ila binafsi aliyenishangaza ni yule mchezaji wa Prison No. 5 aliyetoka nyuma na mbali kwenda kumpiga kichwa Ngasa...yule ndiye aliyeiua Prison...Mchezaji yule wa Prison no 5 ovyo kabisa.
 
kiongozi unaonekana unaufahamu mpira hata kama utakuwa hujuwi kuucheza, yule namba 5 ndo chanzo cha haya matokeo ya kupoteza mechi
 
nasikia rahaaa utamuuuu jamani yanga rahaa utamu
oyoooooooooo....!

mikia fc utawasikia ligi bado mbichi...jitieni tu mioyo sisi ndio haooo...! yani akili yenu na maombi yenu kusema hivi kwamba yanga atapoteza michezo ya mbeleni teh teh teh hilo msahau coz kama sisi tutapoteza na mikia fc watapoteza tu...ila dalili ya mvua ni mawingu

leo wamecheza Tanzania prison lakini kuugua na kuombeleza wameombeleza mashabiki wa simba na prison.....yanga wamechakaza wote wawili
 
Kikosi hiki Cha Sasa hakina ubora was kuchukua ubingwa ukilinganisha na Azam na Simba kwa Sasa ni upepo mzuri unapepea jangwani ukiambatana na bahati
Kuna mambo ambayo tunahitaji kuyatafakari kwanza kabla ya kuyatamka, labda kama tunakusudia kuchangamsha mjadala tu. 1. Bahati/Upepo: Kama timu mbovu imeweza kuwa na bahati mara 14 mfululizo, basi lazima timu hiyo itakuwa na uwezo wa kumiliki bahati hiyo, yaani bahati imekuwa ni mali ya timu hiyo. Sasa wengine wataipataje? 2. Aibu kwa timu mbovu kuongeza ligi: Aibu hiyo ni kwa nani, anayeongoza au wanaoongozwa? 3. Kigezo cha kutopiga angalau pasi tano: Lengo la pasi ni kuzipiga nyingi au kukufikosha golini ili ufunge? Ni lipi bora kati ya kupiga pasi nyingi lakini zikakuchelewesha kufika golini na zinapokufikisha zikawapa urahisi mabeki kuokoa au hata zisikifikishe golini, au pasi chache zinazokufikisha golini na zikawapa taabu mabeki kuokoa hadi zikazaa magoli? Mchezo wa pasi nyingi unasomeka kirahisi na hivyo kuwapa makocha unafuu wa kuidhibiti timu inayozicheza. Na kinyume chake.
Ili kasi ya Yanga ikate, ni muhimu kwanza kusoma na kuelewa mbinu/falsafa zake ambazo kwa kweli kuzidhibiti kunahitaji timu iachane na utanashati wa kiuchezaji kwanza. Aidha, kuna haja ya kuua ari ya ushindani na moyo wa kupambana waliyo nayo wachezaji wao na pia kutobweteka na kauli za kijanja na kisaikolojia za kocha wake anayejifanya kama kwamba hategemei wala hakusudii makubwa kwenye timu yake. Kadhalika msidanganywe na dhana ya kuwa timu ni ombaomna wa kutupwa ilhali imemudu kusafiri kwa ndege kwenye mechi zake zote za ugenini hivi sasa. Dharau za timu nyengine zitokanazo na taswira hiyo inayoonekana kujengwa makusudi na Yanga, sambamba na mbinu hizo za kocha ndani na nje ya uwanja, kwa pamoja ndiyo hiyo ‘bahati’ au ‘upepo’ mnayoidhania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…