DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,090
Nilikuwa nakumbushia post yako ya wale vyura, mmoja akimpumlia mwenzie kisogoni. Sijui wamemalizanaje?Sakanma tu mzee familia yako haijambo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa nakumbushia post yako ya wale vyura, mmoja akimpumlia mwenzie kisogoni. Sijui wamemalizanaje?Sakanma tu mzee familia yako haijambo?
Na wapotee tu kwani kwenye Msimamo wa ligi kuna sehemu ya Mechi zilizochezwa, Win,Lose, Draw, Magoli na kufunga na kufungwa sasa hizo pasi tano tano sijui zinakaaga wapi.Maswali kama haya ndo yanayopoteza watu kwenye uzi
Tusubiri tuone basi. Japo kwa maneno yako ikiwa pumzi itakata kwa kinara wa ligi nyie wa chini yake mtakuwa na hali gani.Kwani ligi imeisha? Ndo Kwanza 14 Kati ya 38 kwa yanga hi pumzi itakata muda si mrefu
Huwa zinakaa mwishoni kabisa mwa table ya wanamsimbazi.Na wapotee tu kwani kwenye Msimamo wa ligi kuna sehemu ya Mechi zilizochezwa, Win,Lose, Draw, Magoli na kufunga na kufungwa sasa hizo pasi tano tano sijui zinakaaga wapi.
brave one njoo utuambie.
Oooh. Kuumbe. 😂😂😂😂Huwa zinakaa mwishoni kabisa mwa table ya wanamsimbazi.
Timi ndio nini mkuu? Kweli watu mmevurugwa na Yanga.Mkuu kwani we huoni timi hata kupiga pasi 5 zifike hawawezi ni butua butua tu
Aibu yenu nyie wenye kikosi kipana kama Bweni la shule.Ni aibu mkuu Yanga kuongoza ligi timi mbovu sana
Kuna mwaka Leicester City iliongoza kama ilivyofanya Yanga, basi watu waliongea kama ulivyosema kushangaa wakakuta wamebeba ndoo.Kabisa mkuu, hawa wametangulia na baiskeli ya barafu, jua la February na March halitawaacha salama, kila mmoja atakuwa kwenye nafasi yake kipindi hicho.
Chura aina ya Rutty auNilikuwa nakumbushia post yako ya wale vyura, mmoja akimpumlia mwenzie kisogoni. Sijui wamemalizanaje?
HahahahaChura aina ya Rutty au
Jamaa mambumbu wachawi sana hawa yule mganga wao Somo anawadanganyaSimba katika ubora wao wa siku zote.
View attachment 955255
Umetangulia kwa points 11,utapigwa na Azam na Simba zitabaki 5,mimi nikishinda manake ni lazima nishinde michezo yangu ya kiporo nakamata usukani wangu wa TPL, nyie pigeni mark time na kelele kwenye nafasi za wenyewe.Hivi hadi ifike march si itakua tumeshawaacha pointi zaidi ya 20 huko?
Umetangulia kwa points 11,utapigwa na Azam na Simba zitabaki 5,mimi nikishinda manake ni lazima nishinde michezo yangu ya kiporo nakamata usukani wangu wa TPL, nyie pigeni mark time na kelele kwenye nafasi za wenyewe.Hivi hadi ifike march si itakua tumeshawaacha pointi zaidi ya 20 huko?
Umetangulia kwa points 11,utapigwa na Azam na Simba zitabaki 5,mimi nikishinda manake ni lazima nishinde michezo yangu ya kiporo nakamata usukani wangu wa TPL, nyie pigeni mark time na kelele kwenye nafasi za wenyewe.Hivi hadi ifike march si itakua tumeshawaacha pointi zaidi ya 20 huko?
Hii ni Aibu kwa TanzaniaSimba katika ubora wao wa siku zote.
View attachment 955255
Ndo tatizo la simba anafaa kucheza ligi za ndani ambako tumezoea nguvu zao za giza, ona sasa kaleta aibu kwa taifa,Simba katika ubora wao wa siku zote.
View attachment 955255