Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kila anayeangalia soka inayochezwa kwenye uwanja huo aweza kuwa shahidi, hata mvua isiponyesha soka halichezeki, unaweza kudhani ni njia ya ng'ombe, Kwetu Kyela njia ya ng'ombe ina jina lake, inaitwa IGULUMBILO, unaweza kudhani ni barabara, ila hakuna gari linaloweza kupita.
Kinachofichwa ni namna uwanja huu ulivyoharibika, Tulia Ackson na CCM Mbeya Mjini ndio waliharibu uwanja huu kutokana na mipango yao ya kampeni za Uchaguzi, Waliweka katikati ya Pichi kigodolo cha Singeli Usiku kucha.
Tangu wakati ule uwanja ule haufai kwa soka, ni Vema TFF ikatoa tamko la kuufungia bila kujali vyeo vya aliyeuharibu.
Naomba kuwasilisha.
Kinachofichwa ni namna uwanja huu ulivyoharibika, Tulia Ackson na CCM Mbeya Mjini ndio waliharibu uwanja huu kutokana na mipango yao ya kampeni za Uchaguzi, Waliweka katikati ya Pichi kigodolo cha Singeli Usiku kucha.
Tangu wakati ule uwanja ule haufai kwa soka, ni Vema TFF ikatoa tamko la kuufungia bila kujali vyeo vya aliyeuharibu.
Naomba kuwasilisha.