Uwanja wa Taifa | Dar Derby, Vodacom Premier League (VPL) Yanga SC yaibamiza Simba SC kwa goli 1 - 0 ; Morrison akata mzizi wa fitina

Mo amewekeza pesa, makocha mishahara mikubwa, mazingira safi ila mpira uwanjani mbovu sana kwa staili hii pesa zinachomwa mo fukuza wachezaji wote pandisha simba B ,ujinga mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
45+3' Kuelekea kuwa mapumziko mtanange wa VPL

Wanakwenda Simba sasa Kona, inapigwaaa Tshabalala anapaisha njee

Wanachukua Yanga sasa wanamiliki kwake Abdul, anapiga mbele unazuiliwa

Naaaaaaam ni mapumziko Yanga wakiongoza kwa bao moja bila

VPL, HT: Yanga SC 1-0 Simba SC
 
Vyura naona wameamka sasa, naona wemekuja sasa kwenye Uzi hapa mana walijificha haya karibuni sasa.
Ile jitahidini leo pumzi isikate kipindi cha pili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…