Uwanja wa Taifa | Dar Derby, Vodacom Premier League (VPL) Yanga SC yaibamiza Simba SC kwa goli 1 - 0 ; Morrison akata mzizi wa fitina

Lllll,pp p p p p pp p p p p p p p p p p p p p p p p p p pp p p p p p p p lpp p p p pp pp p p p p pp p p p p p p p p l p p p p p p p p p p p p p p p p p p p p p p p p p p p p p pp p p p pp p p p p p p p p p p pp p ll p.lp .pop.p p.p p.p.p.p p l.p p p l.p.p p.p.p.p.p p p.p p pp p pp.p p lp pp.p p.p pp p p p.lp p pp p.p p.pp l.p p pp.p.p lp.pp p l pp pp p p pp p ll p p p.p l pp.p p p p p p p p p p p p.p p p l.p.p p.p p p p p

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchimbi anapiga krosi hatariiiiii, Yanga wanakosa nafasi ya wazi kuandika bao

Ilikuwa hatari na nafasi kwa Yanga
 
15' Bocco anakwendaaaa mwamuzi anasema hakuna faulo, amka

Wanamiliki Yanga sasa inapigwaaaaaa, lakini golikipa Aishi Manula anatokea na kudaka

Wakati huo Morrison yupo chini baada ya kupata rabsha
 
Kapombeeee anakwenda, lakini Jaffar anamfanyia faulo Kapombe

Ni free Kick, inapigwaaaaaa wanaokoa Yanga

Yanga SC 0-0 Simba SC
 
23' Nyoni anakwenda kwenye benchi na ameingia Kennedy upande wa Simba SC

Mpira unarushwa na kapombe kwake Luis
 
Huyu beki wetu aliechukua nafasi ya Erasto Nyoni sin imani nae aisee,
 
Wakuu endeleeni kutujuza kinachoendelea huko mana wengine tuko mwali kabule matombo, huku hata redio tanzania haishiki
 
Mkude kala hela ya GSM ale umeme nini??
Mbona ancheza sana rafu za kijinga leo??
 
28' Anakwenda pembeni Nchimbiii, anapigaaa krosii, lakini Wawa anaokoa kwake Mkudee

Refa anasema ni faulo, na Mkude anaonyeshwa kadi ya njano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…