Uwanja wa Taifa Dar es Salaam....Yanga wanaleta vurugu...

Uwanja wa Taifa Dar es Salaam....Yanga wanaleta vurugu...

BREAKING NEWZ: Kutoka Uwanja wa Taifa. Mashabiki wa Ndala a.k.a Malapa wameenda kukaa jukwaa la Wekundu Simba Taifa kubwa na hawataki kutoka na wanaleta Vurugu huku wakiacha upande wao ukiwa tupu....Sasa ukisikia ugomvi ndio huo. Kwa hali hiyo wakifa watu wakulaumiwa ni nani? Makanyagio au Kandambili? TFF Mpo wanaanza wenyewe hao mgongo wazi.........In Zamalek We Trust...


Source: Macho yangu nashuhudia.

kumbe Simba tuna jukwaa letu hapa uwanjani?
Nielekeze nikaketi mkuu, though nina jezi ya njano!
 
kumbe Simba tuna jukwaa letu hapa uwanjani?
Nielekeze nikaketi mkuu, though nina jezi ya njano!
Mkuu kama una njano usijaribu kwenda kabisa, maana tunatambuana kwa jezi bado tunakuhitaji hapa jukwaani wasije wakakupeleka muhimbili bure na madaktari nao wana mgomo.
 
Wanatafuta sababu tu hao kwani matokeo wanayajua. Toka lini watani wa jadi wakawa wazalendo?
 
Sio lengu langu kuunga mkono hatua ya mashabiki wa simba kuishangilia Zamalek, lakini pia mashabiki wa yanga hawana haki wala mamlaka ya kuwashambulia mashabiki wa simba, wengi wetu tulikuwepo uwanjani mkwaka jana wakati simba inacheza na TP Mazembe na kila mtu aliona ni jinsi gani yanga waliishangilia TP mazembe na hakuna shabiki wa simba aliyerusha ngumi, huu ugonjwa wa kuzishangilia timu pinzani haujaanza jana au juzi kwa hiyo sioni sababu za mashabiki kupigana, kuna mahali mpira wa tanzania ulifanya makosa na ndio umezaa mambo yote haya, lakini kumbukeni mpira sio vita ni burudani.
 
Kumbe Yanga hawana uzalendo pale timu yoyoyote ikicheza na timu za nje! pambafu kabisa!
 
Back
Top Bottom