Kweli napenda mahela shem ubaki nayo tu jamani siwezi hama simba we kama unanipa nipe tu kwa mapenzi sio uniambie mambo za kuhama team kuhama team ni ngumu sana kwangu kama vile kubadili diniShem unavyopenda mihela tena..fikiria fikiria buanaa
Hivi naanzaje kuhama lakini[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji125] [emoji125] woiiKweli napenda mahela shem ubaki nayo tu jamani siwezi hama simba we kama unanipa nipe tu kwa mapenzi sio uniambie mambo za kuhama team kuhama team ni ngumu sana kwangu kama vile kubadili dini
Unaenda wapi sasa we kijana wa kichaga[emoji125] [emoji125] woii
Sihami hata unipe kitu yaani hata uje na mahela mengiiii sihami kwa kweli simba na man u ndio roho zangu
wakirudisha goal mniTAGMlio uwanjani au karibu na media tupeni updates
Nipo hapa...nawaombea mabaya tuUnaenda wapi sasa we kijana wa kichaga
Mm kwangu ni kazi sana kuhama team siwezi mkuuLeader kuhama timu sio kazi ngumu ugumu ni wapi utakapohamia? Hapo tu ndio inafanya kama mimi nibaki na Ziiiimba kibongobongo na ndio timu pekee mjini hapa
Utashindwa kwa jina la Yesu kwahiyo furaha nihame nihamie jangwaniNipo hapa...nawaombea mabaya tu
Yani ukihamia jangwani uungane na sakayo na mzigua90 basi timu itakua imekamilika,,hata tareh 29 tutakaa jukwaa moja pale taifaUtashindwa kwa jina la Yesu kwahiyo furaha nihame nihamie jangwani
Kagera Sugar 1
Mtibwa 1View attachment 746505
Mtani Salaam. Waonaje na Khali!???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda mniroge [emoji85][emoji85][emoji85] kuhamia huko sio kwa akili yangu ninayoijua naanzaje jamani navaa eti jezi ya njanoYani ukihamia jangwani uungane na sakayo na mzigua90 basi timu itakua imekamilika,,hata tareh 29 tutakaa jukwaa moja pale taifa
Hii Ruvu Shooting ya sasa nawaambieni Yanga atadondondosha points. Mark my wordsHT
Ndada 1
Ruvu shooting 3
Salama kabisa Mtani mie sijambo hofu kwako tu Mtani wangu.Mtani Salaam. Waonaje na Khali!???
Naona Mmefungwa.Pole Mtani.
Wa Kimataifa Mnacheza Lini!?? Nataka Nikawashangilie