Uwanja wa taifa: Simba 2-0 Tanzania prisons, ligi kuu soka Tanzania bara

Hahahaa. Ushabiki wataka moyo sana aisee kama ni wa makaratasi ndio inakuwa kama hivyo yaani mpaka Jahazi likishazamishwa.

Tusubirie April 29 ndio tutaona uzuri wa hiyo Simba yao.

Tarehe 29 mtatukabizi ubingwa.
 
Asante prison kwa kutuletea kukamilisha points 6 kutoka mbeya.....!mbarikiwe banyambala onye..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…