Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Ushindi ni jadi yetu, yaani mkuu Hajar hapo ulipo ujue hatupoi mpaka mwisho. Mwaka wetu. This is Simba 2018.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushindi ni jadi yetu, yaani mkuu Hajar hapo ulipo ujue hatupoi mpaka mwisho. Mwaka wetu. This is Simba 2018.
Hahahaaaa. Nawaona tu Mie.Ushindi ni jadi yetu, yaani mkuu Hajar hapo ulipo ujue hatupoi mpaka mwisho. Mwaka wetu. This is Simba 2018.
Kweli mtani...Hahahaaaa. Nawaona tu Mie.
Ila mnastahili sababu machungu ya misimu 05 sio madogo jamaani Mtani mngeweza patwa na magonjwa bure.
Angalau Msimu huu na nyie mcheke kidogo Mtani.
Ha ha naona umeanza kukubali kuwa Simba SC Bingwa na mnabadili kauli. Si mlisema kuwa mtatukuta kwamba miaka yote tunaanza kutangulia sisi.Hahahaaaa. Nawaona tu Mie.
Ila mnastahili sababu machungu ya misimu 05 sio madogo jamaani Mtani mngeweza patwa na magonjwa bure.
Angalau Msimu huu na nyie mcheke kidogo Mtani.
Kwa mbaali Mtani ila itakuwa kauli yangu kamili endapo Mtapata matokeo game ya April 29.Ha ha naona umeanza kukubali kuwa Simba SC Bingwa na mnabadili kauli. Si mlisema kuwa mtatukuta kwamba miaka yote tunaanza kutangulia sisi.
Kila la kheri uko michuano ya Kimataifa.
Kwa mbaali Mtani ila itakuwa kauli yangu kamili endapo Mtapata matokeo game ya April 29.
Hahahaaaaa. Ahsante sana nakukarisha utushangilie kesho kutwa uje uone Mhabesh anavyozidi kukaa.
Hahahaaa. Mie nakuwaga Prison tu Mkuu.Akicheza Mbeya City na Prison pale Sokoine unakuwaga upande upi?
Hahahaaa. Mie nakuwaga Prison tu Mkuu.
Hahahaaa. Upenzi tu Mkuu.Ww ni askari au ? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa. Upenzi tu Mkuu.
Hivyo ningependa Mbeya City ungesema muuza Soko. Hahaaaa
Hahahaaaa. Walaaaa.
Mpaka mwisho Simba 2-Prison 0...
Hahahaaa. Yanga tuna game mbili kibindoni na vyote visipochacha tunakuwa na point 53 hivyo bado chance ya kufanya maajabu ipo.
Hahahaaa. Hauna mashaka kabisaa Mtani.Kweli mtani...
unaonaje usajili wa Simba eti una mashaka?
Hahahaaaa. Uamuzi tu Mkuu.Maana Mbeya City ndo ina influence kwa Mbeya how comes wewe ni Prison [emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]