Uwanja wa Taifa: Simba 2-2 Al masry, Kombe la Shirikisho Afrika

Kufa mbwa weee
 
Dah.. Hata matokeo si mbaya sana lolote laweza kutokea, naamini hivyo mpaka dk 90
Sio mabaya kabisa Kaka Mtani ndio sababu hata sisi jana tuliyapokea hivyo hivyo. [emoji12]
 
Walimtukana mamba kabla hawajavuka mto...wacha tushuhudie hii dhambi yao
 
Ili kuambulia japo draw ni lazima kwanza NDEMLA, MZAMIRU na JUUKO WAINGIE....

Pili mabeki ndio walioleta BALAA LOTE LA LEO.... Beki anashindwa kuondoa mpira ukaenda mbali ni aibu sana.

Beki anaondoa mpira mita mbili KWELI????? Haiwezekani. Mabeki hawajiamini kabisa Nashindwa kuelewa Beki mzoefu kama Erasto Nyoni ANATETEMEKA KAMA MTOTO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…