Uwanja wa Taifa: Simba 2-2 Al masry, Kombe la Shirikisho Afrika

Poa mchambawima...wewe si ulishatoka mchambawima bas unajiona mtu kushinda wasukuma. Ndo maana nakuona mjinga tu
We utakua sio mwenzetu ...mwanaume hujishtukii kuongea ivo maneno ya vidole juu...
Ati mchambawima
 
Akili za kushikiwa hizo, Rage alishamaliza kila kitu.


Nashukuru Kwa Kujidhihirisha Kuwa Wewe ni Miongoni Mwa Walio Graduate Mirembe.

Kwahiyo nitakapobishana na Wewe nitakuwa nampigia Mbuzi gita.
 
Nashukuru Kwa Kujidhihirisha Kuwa Wewe ni Miongoni Mwa Walio Graduate Mirembe.

Kwahiyo nitakapobishana na Wewe nitakuwa nampigia Mbuzi gita.
Punguza munkari mtoto wa kiume. Ukikaa jukwaa kuu taifa si utakufa kwa presha.
 
Hahahaaa mnajifariji kwa kusema mpira unadunda eeh? Haya basi mchezo wa marudiano badilisheni matokeo kama mnaweza, katimu kama kale kangekutana na Mnyama kangeraruriwa vipandevipande
Hahahaaa. Na ndio itakavyokuwa.[emoji85]

Eti mngeirarua lol. Haya mie nasubiri mje mumrarue Mwarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…