Uwanja wa Taifa: Simba SC 1-0 Azam FC, ligi kuu soka Tanzania bara

Simba itashinda tu kama kawaida wazee was 4G
Huku bocco
Okwi
Azam hachomoki .........[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Leo hakuna cha mwiko nyuma wa mbele leo tutawaweka ice srem kote 😎 😎
 
wacha wafu wazikane wenyewe leo, "jamaa" atapita katikati yao very soon. Wait n see.
 
Dude litateleza kwenye ice-cream na kuvunja ugoko mapema tu.
 
kama kuna mwananchi mwenye link ya kuweza kuangalia mpira wa timu hizi, tafadhali tunaona aturushie hapa nasi tushangae shangae .
Asante .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…