Nimecheka sana Babu. Sie shida yetu Simba afungwe.Naelekea uwanjani. Naenda kuishabikia Azam. Nataka Azam ishinde ili mrudi kwenye namba tatu yenu.
wacha wafu wazikane wenyewe leo, "jamaa" atapita katikati yao very soon. Wait n see.Leo ni vita kati ya kinara wa ligi kuu, Simba dhidi ya wanalambalamba wanaotaka kurejea nafasi ya pili baada ya jana Yanga kuikwea. Azam anahitaji ushindi ili kurejea nafasi ya pili pia ushindi utapunguza utofauti kati yake na kinara wa ligi.
Upande wake, Simba anahitaji ushindi kujiimarisha kileleni ambapo zitakuwa alama saba kati yake na Yanga kama Azam atapoteza mchezo wa leo. Kuwa nami mishale ya saa kumi kukujuza kitachojiri uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
=======
Dude litateleza kwenye ice-cream na kuvunja ugoko mapema tu.Leo ni vita kati ya kinara wa ligi kuu, Simba dhidi ya wanalambalamba wanaotaka kurejea nafasi ya pili baada ya jana Yanga kuikwea. Azam anahitaji ushindi ili kurejea nafasi ya pili pia ushindi utapunguza utofauti kati yake na kinara wa ligi.
Upande wake, Simba anahitaji ushindi kujiimarisha kileleni ambapo zitakuwa alama saba kati yake na Yanga kama Azam atapoteza mchezo wa leo. Kuwa nami mishale ya saa kumi kukujuza kitachojiri uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
=======
Kumbe sheikh yahya bado hajafaSimba anapigwa bila huruma.Mwisho wa ligi
1.YANGA
2.SIMBA
3.AZAM
Bora tu iwe hivyo kwakweli, nikiikuta Simba inagombana na nyoka nitakuwa upande wa nyoka kuisaidia imgonge SimbaAzam akishinda mnaondolewa nafasi ya pili..
Mabingwa wa muda wote wahahe na Mikia FC?Yanga mnahaha.....ha ha haaaaaaa
Waeleze hao.........Simba anamaliza ligi bila kushindwa na timu yoyote msimu huu
Hahaaaa.Mabingwa wa muda wote wahae na Mikia FC?
Oookwiiiiiiii!Gooooool