Huwa nakuwa busy na kuangalia me mnya damu ikifungwa hata chakula hakipitiSijakuona dada yangu nkajua we Simba lia lia yaani mpira ukichezwa huwezi kufanya chochote mpaka uishe. Hahahaaaa.
Ila hongera sana dada ake. [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Ndoto za mchana we yanga mwakani utakaa nyumbani tu coz sijui hata hiyo FA mtanusa fainali sababu singida na Azam wanatolea macho iyo nafasi.Simba anapigwa bila huruma.Mwisho wa ligi
1.YANGA
2.SIMBA
3.AZAM
Kwikwikwi...hicho kinaitwa ' kimoja chenye afya'kimoja watoto kibao....kama nguruwe!!!
kwasi amempita ajibu kwa magoli?Kweli Huu ni Mwaka Wa Raha Kwa [HASHTAG]#Simba[/HASHTAG] 😀 😀 😀
Yani Magoli ya [HASHTAG]#Okwi[/HASHTAG] tu Ni Sawa na Points Zote za #NjombeMji au [HASHTAG]#KageraSugar[/HASHTAG]
View attachment 692227
#Ndala hawapendi Kabisa Kuona Hichi Kitu 😀 😀 😀
Umemuacha na Mlipili.Simba kwa kweli imekamilika. Kwasi, Nyoni ni zaidi ya mabeki.
Hahaaa. Haya bana. Hongereni.Tayari Tumeshaprove Ubora Wetu vipi bado unawasiwasi Na Performance ya Simba?
By the way! Pia tumeprove kuwa Bila ya Malinzi kuwepo TFF basi Simba haina Mpinzani Hapa Tz.
Sawa Dada.Huwa nakuwa busy na kuangalia me mnya damu ikifungwa hata chakula hakipiti
Hahaha nyie vijana bhana... kumbe hata lugha za mafumbo zinawapiga chenga kirahisi hivi?Mzee utakuja kufa hujaanza kuandika hata mirathi
Unaacha mkeo kusubiri simba afungwe
Hahaha nyie vijana bhana... kumbe hata lugha za mafumbo zinawapiga chenga kirahisi hivi?
Nakusalimia mjukuu wangu emmyta popote pale ulipo. Okwi kanambia nikuamkie "shkamoo" badala yake
Ntamwambia. Ila mnamchokoza wenyewe. Mnapoifunga timu inayoshuka daraja msiwe mnamsumbua na kelele zenu. Mkitulia hatawaumizaHahaaa. Nimeshaitikia Marhabaa. Ila mwambie awache hizo mambo za kutukosesha amani.
Hahaaaaa. Haya bana Babu.Ntamwambia. Ila mnamchokoza wenyewe. Mnapoifunga timu inayoshuka daraja msiwe mnamsumbua na kelele zenu. Mkitulia hatawaumiza
Kwasi na Ajibu wanacheza namba sawa?kwasi amempita ajibu kwa magoli?
nimeuliza kingine na mimi nimeulizwa kingineKwasi na Ajibu wanacheza namba sawa?
Sorry! Swali ulivouliza nilielewa kivingine kabisa!nimeuliza kingine na mimi nimeulizwa kingine