Lee Cho in
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 941
- 693
hahahahahahaha mkuu kumbe ww ni zimbaaaaa?!!!!!!Lakini umeshachelewa Kwa Leo! Labda ujalibu siku nyengine...
Kwasasa Simba Hakuna Kwenye Uwezo Wa Kuiombea Baya lolote Kwani Anararua Kila anayemkalia Mbele.
hahahahahahaha mkuu kumbe ww ni zimbaaaaa?!!!!!!
Mlibebwa sana nyie Mikia FC.
Hata kama hawachezi namba sawa je haishangazi kuwa na magoli sawa?Kwasi na Ajibu wanacheza namba sawa?
Mikia/Mezani FC mmejipanga toka Tifu Tifu mpaka Msimbazi...Nadhani huo ndiyo utakuwa Wimbo wenu Wa [HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG] Mwaka Huu.
Mikia/Mezani FC mmejipanga toka Tifu Tifu mpaka Msimbazi...
Hahahaha pole sana mkuuKabla Ya Kuwa Liverpool, Nilitangua Kuwa Simba Kwa Miaka Miwili.
Sisi Home Kwetu Sote Ni Familia Ya Simba Kuanzia Farther mpaka sisi.