Uwanja wa Taifa: Simba SC 5-0 Mbao | Ligi Kuu Soka Tanzania Bara | 26/02/18

Nimekuja mimi huu uitaji wa leo sijui kama wa heri
Hahaaa. Kwa nini dada mie nawapenda Watani zangu hivyo sipendi kusikiliza mwenyewe pasi mpinzani pembeni yaani mpira unakosa ladha. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Hahaaa. Kwa nini dada mie nawapenda Watani zangu hivyo sipendi kusikiliza mwenyewe pasi mpinzani pembeni yaani mpira unakosa ladha. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mmh dada sidhani kama kuna heri ebu ngoja tuone
 
Gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooolll
 
Okwi Apige Jamniii Liwe La Kumi Na Tanoooo
 
Okwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
haya magoli mbona ya haraka haraka sana...
 
Mimi nili isi mtangazaji amechapia au mnazi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…