Uwanja wa Taifa: Simba SC 5-0 Mbao | Ligi Kuu Soka Tanzania Bara | 26/02/18

Simple! Mrudisheni Malinzi Tiefuefu ili awape tena Ubingwa wenu alioondoka nao Wa Magoli ya Mikono.
Nyie ile rufaa yenu FIFA vipi mbona rais alikuwepo nchini? Ndio maana Rage anawaita mbumbumbu.
 
Nyie ile rufaa yenu FIFA vipi mbona rais alikuwepo nchini? Ndio maana Rage anawaita mbumbumbu.
Mie Simba ila umenichekesha sana, kwamba rais wa FIFA alikuwepo bongo kwanini hatukumpa rufaa yetu. Kwani wewe unajuaje kuwa hatukumpa.

Hata hivyo tunalifukuzia kombe kwa nguvu zote inabidi tusitishe rufaa zote kwanza, hahaha
 
Mie Simba ila umenichekesha sana, kwamba rais wa FIFA alikuwepo bongo kwanini hatukumpa rufaa yetu. Kwani wewe unajuaje kuwa hatukumpa.

Hata hivyo tunalifukuzia kombe kwa nguvu zote inabidi tusitishe rufaa zote kwanza, hahaha
Ha haaa mtani, kweli mwaka huu umejipanga toka TFF mpaka Msimbazi...Karia, Wambura, Kidau, Ndimbo et al.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…