Leo ni kiputwe cha ligi kuu soka Tanzania Bara ambapo wekundu wa msimbazi Simba inawakaribisha Mbao FC kutoka jijini Mwanza.
Mbao ikiwa kama timu iliyoleta changamoto kwa Timu kubwa za Kariako yaani Simba na Yanga ambapo yanga Tayari kashachezea msimu huu kwa goli 2.
Kwa upande wa Simba, matokeo ya mzunguko wa kwanza ilikuwa 2-2 wakati mbao ikiwa nyumbani. Leo Simba atakuwa nyumbani uwanja wa Taifa, Dar.
Swali linalobakiwa ni hili; Je, Mnyama atafanikiwa kuzichanachana Mbao?
Kikosi cha Simba
Kikosi cha Mbao
0' Mechi inaanza
01' Simba wanaanza kwa kupigiana
02' Mbao nao wanapanga mashambulizi kwenye lango la Simba
04' Habibu Kyombo anafanya shambulizi kuelekea lango la simba ila anadhibitiwa na James Kotei.
06' Mbao wanafanya shambulizi lingine linadhibitiwa.
07'Mbao wanaonekana kujipanga vizuri japo Simba wanajitahidi kujipenyeza kupitia pembeni.
08' Simba wanafanya shambulizi kwenye lango la mbao na wanapata faul, faul imepigwa ila haijazaa matunda.
10'Simba wanapiga kros kupitia kwa Gyan, na Okwi anaikosakosa.
11'Kipa wa mbao anaonyeshwa kadi ya njano
12'Mbao wanafanya counter attack ila wanadhibitiwa.
14'Ndemla anapiga shuti golini ila kipa anaidaka
15'Mbao wanapigiana vizuri wenyewe kwa wenyewe
16'Mpira unapigwa kuelekea simba
17'Faul inapigwa kuelekea simba ni karibu na 18, simba wanadhibiti
20' Free kick kuelekea lango la mbao, ni nje kidogo ya 18. Golikipa anadaka
21'Okwi anafanya shambulizi lakini anadhibitiwa
24' Mbao wanafanya shambulizi hatari golini mwa simba ila mabeki wa simba wanasimama vizuri kudhibiti madhara
Kona imepigwa kwenye lango la simba inapigwa kichwa na kutoka nje.
26' Simba wanapanga tena mashambulizi kwenda lango la Mbao.
28' Mbao wanafika langoni mwa Simba mara nyingi zaidi, wanaonekana kuwa na kasi sana.
29' Mpira sasa ni kushambuliana kwa zamu
31' Anatoka Ndemla anaingia Mzamiri Yasin.
37' Goooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Simba inapata goli la kuongoza kupitia kwa Shiza Ramadhani Kichuya, ni baada ya kupokea pasi kutoka kwa Emmanuel Anorld Okwi na kuutundika wavuni.
41'Emmanuel Okwi anavutwa na beki wa Mbao David Mwasa na imeamriwa kupigwa penati na David mwasa anaonyeshwa kadi ya njano
Penati inapigwa na Okwi mwenyewe
41'Gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
45'Mbao wanafanya shambulizi kwenye lango la Simba kupitia kwa Habibu Kyombo anatoa pasi lakini inatoka nje
Mpira ni Mapumziko
Kipindi cha pili kinaanza
45'Mbao wanajitahidi kulishambulia lango la Simba ila jitihada zinashindwa kuzaa matunda.
46' Okwi anawekwa chini, faul inapigwa
48' Shomari Kapombe yuko chini na anagangwagangwa na dkt. wa Simba
50' Simba wanapigiana vizuri huku wakipanga mashambulizi kuelekea Mbao
51' Mzamiru anapata nafasi nzuri ila anapiga shuti hafifu na kipa anaidaka
James Msuva, mdogo wake Simoni Hapigodi Msuva anatoka
52' Faul inapigwa na almanusra afunge japo kipa anaiokoa
54' Faul inapigwa kuelekea Simba, kipa wa Simba Manula anaidaka
55' Emmanuel Mvulukule wa Mbao anaoneshwa kadi ya njano
57' Anatoka Ibrahimu Njohole anaingia Said Said kwa upande wa mbao
59' Nicolaus Gyan anafanya shambuuliz matata ndani ya lango la Mbao, lakini anadhibitiwa na Yusuph Ndikumana.
62'Mbao wanafanya shambulizi kupitia kwa Habibu Kyombo lakini anaitoa nje.
63' Free kick kuelekea lango la Simba, inakuwa ni kona
65'Otecha anapiga shuti kali lakini halijalenga vizuri goli
66' Habib Kyombo anaachia shuti moja golini lakini inatoka nje
67'Simba wanaanzisha mashambulizi upya, wanapata kona inapigwa na Kichuya ila haijakuwa na madhara.
69' Gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Emmanuel Okwi anawanyanyua mashabiki wa Simba kwa kutundika goli la tatu baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa James Kotei na kutundika kimiyani.
73' Kichuya anafanya shambulizi moja hatari lakini inakosekana wa kumalizia
75' Kichuya anapiga kona ila haijazaa matunda.
77'Okwi anatoka, anaingia Laudit Mvugo
78'Gyan anafanya shambulizi moja lakini linadhibitiwa
80'Gyan anapiga kros nzuri, Mzamiru anajitahidi kuimalizia ila inatoka nje
81' Erasto Nyoni anapiga faul ambayo inamparaza beki wa mbao na kuingia moja kwa moja golini
82'Gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
84' Nahodha wa mbao Yusuph Ndikumana anaonyeshwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa na kadi mbili za njano
86'Goooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Nicolaus Gyan anafunga goli la tano baada ya kupokea pasi toka kwa Asante Kwasi.
88' Mbao wanafanya shambulizi lakini haijazaa matunda
90' Simba wanapiga kona
Na mpira umekwisha
Mbao ikiwa kama timu iliyoleta changamoto kwa Timu kubwa za Kariako yaani Simba na Yanga ambapo yanga Tayari kashachezea msimu huu kwa goli 2.
Kwa upande wa Simba, matokeo ya mzunguko wa kwanza ilikuwa 2-2 wakati mbao ikiwa nyumbani. Leo Simba atakuwa nyumbani uwanja wa Taifa, Dar.
Swali linalobakiwa ni hili; Je, Mnyama atafanikiwa kuzichanachana Mbao?
Kikosi cha Simba
Kikosi cha Mbao
01' Simba wanaanza kwa kupigiana
02' Mbao nao wanapanga mashambulizi kwenye lango la Simba
04' Habibu Kyombo anafanya shambulizi kuelekea lango la simba ila anadhibitiwa na James Kotei.
06' Mbao wanafanya shambulizi lingine linadhibitiwa.
07'Mbao wanaonekana kujipanga vizuri japo Simba wanajitahidi kujipenyeza kupitia pembeni.
08' Simba wanafanya shambulizi kwenye lango la mbao na wanapata faul, faul imepigwa ila haijazaa matunda.
10'Simba wanapiga kros kupitia kwa Gyan, na Okwi anaikosakosa.
11'Kipa wa mbao anaonyeshwa kadi ya njano
12'Mbao wanafanya counter attack ila wanadhibitiwa.
14'Ndemla anapiga shuti golini ila kipa anaidaka
15'Mbao wanapigiana vizuri wenyewe kwa wenyewe
16'Mpira unapigwa kuelekea simba
17'Faul inapigwa kuelekea simba ni karibu na 18, simba wanadhibiti
20' Free kick kuelekea lango la mbao, ni nje kidogo ya 18. Golikipa anadaka
21'Okwi anafanya shambulizi lakini anadhibitiwa
24' Mbao wanafanya shambulizi hatari golini mwa simba ila mabeki wa simba wanasimama vizuri kudhibiti madhara
Kona imepigwa kwenye lango la simba inapigwa kichwa na kutoka nje.
26' Simba wanapanga tena mashambulizi kwenda lango la Mbao.
28' Mbao wanafika langoni mwa Simba mara nyingi zaidi, wanaonekana kuwa na kasi sana.
29' Mpira sasa ni kushambuliana kwa zamu
31' Anatoka Ndemla anaingia Mzamiri Yasin.
37' Goooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Simba inapata goli la kuongoza kupitia kwa Shiza Ramadhani Kichuya, ni baada ya kupokea pasi kutoka kwa Emmanuel Anorld Okwi na kuutundika wavuni.
41'Emmanuel Okwi anavutwa na beki wa Mbao David Mwasa na imeamriwa kupigwa penati na David mwasa anaonyeshwa kadi ya njano
Penati inapigwa na Okwi mwenyewe
41'Gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
45'Mbao wanafanya shambulizi kwenye lango la Simba kupitia kwa Habibu Kyombo anatoa pasi lakini inatoka nje
Mpira ni Mapumziko
Kipindi cha pili kinaanza
45'Mbao wanajitahidi kulishambulia lango la Simba ila jitihada zinashindwa kuzaa matunda.
46' Okwi anawekwa chini, faul inapigwa
48' Shomari Kapombe yuko chini na anagangwagangwa na dkt. wa Simba
50' Simba wanapigiana vizuri huku wakipanga mashambulizi kuelekea Mbao
51' Mzamiru anapata nafasi nzuri ila anapiga shuti hafifu na kipa anaidaka
James Msuva, mdogo wake Simoni Hapigodi Msuva anatoka
52' Faul inapigwa na almanusra afunge japo kipa anaiokoa
54' Faul inapigwa kuelekea Simba, kipa wa Simba Manula anaidaka
55' Emmanuel Mvulukule wa Mbao anaoneshwa kadi ya njano
57' Anatoka Ibrahimu Njohole anaingia Said Said kwa upande wa mbao
59' Nicolaus Gyan anafanya shambuuliz matata ndani ya lango la Mbao, lakini anadhibitiwa na Yusuph Ndikumana.
62'Mbao wanafanya shambulizi kupitia kwa Habibu Kyombo lakini anaitoa nje.
63' Free kick kuelekea lango la Simba, inakuwa ni kona
65'Otecha anapiga shuti kali lakini halijalenga vizuri goli
66' Habib Kyombo anaachia shuti moja golini lakini inatoka nje
67'Simba wanaanzisha mashambulizi upya, wanapata kona inapigwa na Kichuya ila haijakuwa na madhara.
69' Gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Emmanuel Okwi anawanyanyua mashabiki wa Simba kwa kutundika goli la tatu baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa James Kotei na kutundika kimiyani.
73' Kichuya anafanya shambulizi moja hatari lakini inakosekana wa kumalizia
75' Kichuya anapiga kona ila haijazaa matunda.
77'Okwi anatoka, anaingia Laudit Mvugo
78'Gyan anafanya shambulizi moja lakini linadhibitiwa
80'Gyan anapiga kros nzuri, Mzamiru anajitahidi kuimalizia ila inatoka nje
81' Erasto Nyoni anapiga faul ambayo inamparaza beki wa mbao na kuingia moja kwa moja golini
82'Gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
84' Nahodha wa mbao Yusuph Ndikumana anaonyeshwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa na kadi mbili za njano
86'Goooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Nicolaus Gyan anafunga goli la tano baada ya kupokea pasi toka kwa Asante Kwasi.
88' Mbao wanafanya shambulizi lakini haijazaa matunda
90' Simba wanapiga kona
Na mpira umekwisha