Uwanja wa Taifa sio wa siasa lakini mechi inaweza kuwa ya Kisiasa

Uwanja wa Taifa sio wa siasa lakini mechi inaweza kuwa ya Kisiasa

Mjasiria Akili

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
823
Reaction score
372
Kesho kuna mechi kati ya stars na nigeria pale kwenye uwanja wa taifa uwanja tulioambia mambo ya kisiasa marufuku.

Ingawa mpaka sasa TFF hawajasema nani atakua mgeni rasmi lkn nina mashaka kuna mgombea mmoja wa urais atakua ndio mgeni rasmi na hapa ndio pale wale waliosema mambo ya kisia hayaruhusi watakapokua wamemeza ndimi zao.

Tusubiri tuone na kama mgombea huyo ninaemuhisi ndio atakua mgeni rasmi natanga rasmi zile silaha nilizoweka chini kuiunga mkono timu naziinua juu mwanzo mwisho nakua mnigeria na tukitoka sio chini ya goli 3
 
Wakifanya hivyo kwa mechi hii watakuwa wamecheza karata vibaya.

Maana kuna hatari ya Stars kuboronga na kuambulia kuzomewa mtu wao kuwa ana gundu kumbe timu yenyewe ni dhaifu. Wakitaka waialike Comoro kisha wamlete mtu wao tena awe kavaa na jezi ili ukipatikana ushindi wa sunami wampongeze na kumsifia kuwa ana nyota ya michezo.

Inaweza kuwasaidia kidogo.
 
Hata mimi nimehisi hilo baada ya jamaa yangu m1 wa pale tff kunipenyezea hilo. Afu huyo mgombea nimesikia vyombo vya Habari vikiripoti kua atakua na mapumnziko ya siku 2 Dar ndo nikajua hilo.
 
Wakithubutu kuleta ujinga kuna hatari ule uwanja utageuka kwa wanaigeria kuwa nyumbani watu watageuka kama sio wai
 
Back
Top Bottom