yes yes [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hii mechi Simba anafungwa....najua mtashangazwa leo
Vyura [emoji196][emoji196][emoji196]Hawa Mwadui leo watakuwa wamevuta muamala wa kutosha
Point yako ni ipi?Unaonaje kama tukikuingiza ukacheze au tukikupa ukocha msaidizi Mr Payroll?
Na kesho Yanga anavuta muamala wa kutosha kutoka kwa AzamHawa Mwadui leo watakuwa wamevuta muamala wa kutosha
ila itashindaHii mechi Simba anafungwa....najua mtashangazwa leo
Magoli ya Simba yamefungwa na wachezaji gani mkuuDKK ya 24 Simba 2- 0 Mwadui
Hawa Mwadui leo watakuwa wamevuta muamala wa kutosha