Uwanja wa Taifa | Vodacom Premier League: Simba SC 3 - 0 Mwadui FC

Siku moja moja mume anatakiwa ajilegeze kwa mkewe ili ndoa idumu muda mrefu
 
Bado mechi mbili tuchukue ndoo
 
Kazi nzuri ilioanzishwa kwa ndemla kwenda kwa Luis ambae akapiga shuti Kali likagonga mwamba na Bocco akamalizia kwa kichwa

Simba 3- 0 mwadui
 
Tusubiri sasa vyuro kesho wanavyopewa dozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…