mbombo mte
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 713
- 197
Matokeo vipi?Mbele kwa mbele
Kabisaaaa. Siku zote hakuna linaloshindikana.Tuko pamoja ndugu. Hawa watoto wa Mswati lazima wake leo.
*Daima Mbele Nyuma Mwiko*
Nipo seat ya mbele kabisa hapa
Mie siku zote nakuaminia hasa zile dk zetu za nyongeza. [emoji12]Nipo seat ya mbele kabisa hapa
Unakosea sana...naiona yanga ikichukua kombe na kuwaacha simba wakishangaaKila la kheri Yanga, ila ubingwa wa VPL msahau.
Mjitekenye wenyewe. Sisi hatufanyi masikhara tunapita. Endeleeni kusema tusahauKila la kheri Yanga, ila ubingwa wa VPL msahau.
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Asante kwa uelewa barikiwaaaa[emoji23]
Kabisa kabisa. Vip upo uwanjani, mbele ya TV au kwenye radio ukiusikiliza.?Kabisaaaa. Siku zote hakuna linaloshindikana.
Niko mbele ya Tv Mkuu.Kabisa kabisa. Vip upo uwanjani, mbele ya TV au kwenye radio ukiusikiliza.?
Mimi hata redio sina ila naamini nitapata matokeo kupitia JF
MATOKEO tafadhar
Kafunga nani jina lake??Tuwe pamoja
Muda wowote kutoka hivi sasa mpira utaanza
View attachment 706050
0' Mpira unaanza
1' Ajib anapanga shambulizi golini ila linadhibitiwa
2'Yanga wanaliandama lango la township rollers, Kessy anapiga mshuti lakini unatoka nje
04' Township wanajibu mashambulizi, straiker amebakiwa na GK lakini ameshindwa kufungwa.
05' Yanga wanafanya counter attack lakini inafeli
06' Township wanapanga mashambulizi na Yanga wanafanya mashambulizi. Ni piga nikupige
07' Chirwa anakwenda lakini anakuwa off side.
10' Gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
12' Town wanapata kona baada ya kuendeleza mashambulizi kwenye lango la Yanga.