Uwanja wa Taifa :Yanga 1-2 Township Rollers, Klabu Bingwa Afrika

Hata hivyo matokeo ya moja moja yanawafavour hawa jamaa na sio sisi [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mjitekenye wenyewe. Sisi hatufanyi masikhara tunapita. Endeleeni kusema tusahau


Halafu Una Mkosi Kweli Mwaka Huu! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Kula Ughaibuni Unadonolewa tu! Na Huku Uchawini unapenda [HASHTAG]#NdalaFC[/HASHTAG] inayogawa uroda Kwa Hawa [HASHTAG]#Township[/HASHTAG]!

Dah! Mungu Akusaidie...!
 
Halafu Una Mkosi Kweli Mwaka Huu! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Kula Ughaibuni Unadonolewa tu! Na Huku Uchawini unapenda [HASHTAG]#NdalaFC[/HASHTAG] inayogawa uroda Kwa Hawa [HASHTAG]#Township[/HASHTAG]!

Dah! Mungu Akusaidie...!
Mkuu haya mambo ni kawaida sana. Kwani msimu uliopita ungeweza kuniambia maneno haya.? Kuanzia kwenye EPL, UEFA mpaka hapa bongo kwenye VPL. Kwa hiyo ni hali ya kawaida kwenye mpira.
 
Hahahaaa. Karibu sana Kaka Mtani.

Leo zamu yangu nitanie mpaka uchoke sababu unamjua emmy ambavyo huwa anakutania hadi dk ya mwisho.
Hadi 45 ' zimekwisha nadhani huna gemu ngumu sana.. Huenda ukaibuka na ushindi
 
HT: [HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG] Wanasherehekea Sare bila Ya Kujua Second Leg itachezwa ugenini ambako Watakwenda Kuliwa Jicho πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
[QUOTmmyta, post: 26078113, member: 214203"]Hahahaaa. Si umeona kama tulivyokomboa wote wamekimbia wamebaki wachache wanaojifariji. Lol[/QUOTE]
Nipo mimi hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…