Uwanja wa Taifa :Yanga 1-2 Township Rollers, Klabu Bingwa Afrika

Halafu Kitendo Alichofanywa Puppy Kapandwa Shishibibi Na Mfungaji Wa Hule Mgoli Wa [HASHTAG]#Township[/HASHTAG] na Kutinga Nyavuni Naamini Puppy Hatokisahau! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€

Yani Kafinywa Mchenga Wa Karne πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
mgoli wa yanga ulikuwaje?..wengine tunachoma mkaa urambo huku..tupo mbali na tv
 
Second Half imeanza! Wacha Nimuone [HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG] anavokufa..
 
Hahahaa. Nimecheka kwa sauti Mtani.

Ila kweli anatusaidia mno.
Huyo bwana upara ndio engine ya Yanga siku akikosekana ni either mgawane point au mwache point 3 mezani......

Kocha wenu alifanya jambo la maana sana kwenda kumfuta zambia katika kilimo cha mahindi [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Hawa Commentators Wa Kibongo Bhana! eti Mchezaji Hakuwa na dhamira ya Kuugusa Mpira Bali Mpira Ndiyo uliofuata Mikono Kwahiyo Siyo Penalty! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Kwani Ukitoa Goal Keepers ni Mchezaji Gani anayedaka Kwa Makusudi?? Wote si Wanadaka Kwa Bahati Mbaya!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…