Uchaguzi 2020 Uwasilishaji wa sera za CHADEMA umeshiba na ndio unaoleta kizaazaa Lumumba

😂 😂 😂 lissu amesoma HKL magu amesoma PCM (PHD), ushawahi ona wap mtu wa pcm anahangaika na kuandika IMLA? magufuli knows how to handle a crisis scientifically i.e corona, lissu anajua kuandika IMLA ya corona! ni sawa na useme doctor ajifunze kuandika, who has time for that?

- viongozi wengi wa chadema hawajaenda shule, mfano mwenyekiti, lema! wnajua kuongea kihuni for that i agree but they can never handle anything as simple as economics
 

nkismama katika ukweli then lissu has nothing cha maaana kinachotoka kwenye hizo lipstick zake! mbowe na kutkojua kusoma kwake but he has wisdom, mara nyingi sana anakua hakubaliana na magufuli lakini anajua how to present his ideas!
- For lissu kati ya kopo la cdm kuwahi kutokea ndo lissu sasa to the extent hata mwanzilishi wa chadema mwenyewe edwin mtei hakubaliana nae, such a waste for chadema! uchaguzi umepotea kihovyo kabisa
 
Yuko vizuri sana. Leo akiwa Mbozi katoa somo la katiba mpya akieleza jinsi katiba iliyopo inavyompa madarakka makubwa rais wa nchi na baadaye akaeleza kuwa yeye hataki kuongoza kwa katiba hii, anataka ndani ya siku 100 za kwanza afufue mchakato wa katiba mpya ambapo madaraka yatagatuliwa kwenda chini ili wananchi wawe na mamlaka ya kuwachagua viongozi wao na kupanga maendeleo yao katika maeneo waliyopo. Utapenda anapo anzisha swala hilo na kuwaeleza wananchi....kama yupo darasani.
 
kimenuka bukoba ! kumbe hawakusahau !
 

Attachments

  • Haya Maneno Magufuli aliyasema kagera mwaka 2017.. . . Leo anaenda kuwaomba kura ( 352 X 640 ).mp4
    1.6 MB
Hizi ni kampeni za urais, sasa kama anafanya vizuri kuwasilisha hoja unadhani wananchi hawajui kwamba kinachopiganiwa ni kura?!

Wananchi watampigia kura Tundu Lissu, ondoa shaka.

Usimamizi ni mgumu sanaa, nchi nzima sio kitu kidogo, hilo jukumu ni la vingozi wa majimbo sasa sio la Tundu Lissu, hawajui watu wa maeneo aendayo, kupata credible people ni jukumu la viongozi wa majimbo ya uchaguzi ,mikoa ,wilaya hadi kata.

Ma ccm majizi lakini tutajitahidi kuyadhibiti.
 
... when it comes to Audience Management, none like Tundu Lissu! Anayekaribiana naye ni Mwl. Nyerere tu.

..anapenda kutumia maneno, "..naomba tusikilizane.."

..halafu akijenga hoja huipa msisitizo kwa kuuliza, " ..si ndio..?"

..au huhakikisha kama ameeleweka kwa kuuliza, "..mmenipata..?"

..ila KIBOKO ni alipokuwa Znz na kusema, "...mimi nikiongea huwa sipendi muziki tafadhali..."

..Tundu Lissu ana mvuto, ana facts, na ana credibility.
 
Porojo tu. Yeye aseme atafanya nini kwa watanzania. Watanzania hata kama hawajui kusoma wanaona picha ya flyover, ndege, hospital, na kadhalika. JPM mbele kwa mbele.
 
nina uhakika wahusika wameyaona maoni yangu na watayafanyia kazi.

ngoja niongee pointi zangu kwa volume kubwa...

1. kuhamasisha kupiga kura - doable
2. kura zihasebiwe vituoni - doable
3. wawakilishi kuhesabu kura - doable
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…