Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,428
- 3,937
For the first time nimesoma jambo mtu alilopost jamii forum na kulielewa;Keep it up
Itakuwa haujawahi kusoma nyuzi zangu wewe! ๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
For the first time nimesoma jambo mtu alilopost jamii forum na kulielewa;Keep it up
Lissu alisoma HGE Galanos tanga alipiga Div 1 kali sana...huyo mwamba sijui alisomaga wapi ila akaenda Diploma ualimu
Unaumia ndg ???
Siyo kweli hata iwe HKL , PCM , M.D., Ph.D ya Korosho n.k mtindo ni huo huo 5W + H1
5W = Who? What? When? Where? Why?
1H= How?
Elimu fake ya mkuu ilihojiwa na Ben akapotezwa hadi leo.
Bashite je? Ccm ukoo ule ule.
Ni yeye tu.
View attachment 1571658View attachment 1571660View attachment 1571661
Lissu anafundisha kama yuko darasani, tena kwa lugha nyepesi na relatable
๐๐leo nikikumbuka hii ahadi na kilichotokea migomban nacheka tuu kama mazuriHahahaa umenikunbusha siku niliyokuwa nabatizwa na kupewa kipaimara
๐๐leo nikikumbuka hii ahadi na kilichotokea migomban nacheka tuu kama mazuriHahahaa umenikunbusha siku niliyokuwa nabatizwa na kupewa kipaimara
Hebu tupe stori kidgo uliona nini mkuu๐๐leo nikikumbuka hii ahadi na kilichotokea migomban nacheka tuu kama mazuri
Mahakamami walishanawa mikono. Kesi ikisimamiwa na Lissu basi tena inaisha kabla hata ya kusomwa.Naam, mikutano yake ni darasa. Hakuna kilichoandikwa kwenye karatasi lakini ukisikiliza utadhani msoma taarifa ya habari kwenye screen ya studio ya TV. Ana uwezo mkubwa sana. Ndio maana huwa anashinda kesi mahakamani.
Me niliona tu watu wanamkataa shetan na mambo yake yotee na kazi zake zote... maraa Network haipoHebu tupe stori kidgo uliona nini mkuu
Kabisaaa mkuuTunamkataaa na hila zake zote
๐๐Me niliona tu watu wanamkataa shetan na mambo yake yotee na kazi zake zote... maraa Network haipo
Hakuna siku nilikosa amani kama siku ambayo nec walitakiwa wamtangaze wakawa waanchelewa aisee that day I won't forgetTundu Lissu ni zawadi toka kwa Mungu.
Walimpiga risasi afe,ikashindikana.
Wakamvua ubunge na haki zake kuzipora,ikashindikana.
Yote hii ili Mtanzania aje apate ukombozi wa kweli.
Kura zote kwa Tundu Lissu.
Mbona kwenye CV yake hakuna hiyo diploma ya ualimu mkuu au niliyoiona mini siyo yenyeweLissu alisoma HGE Galanos tanga alipiga Div 1 kali sana...huyo mwamba sijui alisomaga wapi ila akaenda Diploma ualimu
Mwamba hakufanya vizuri form 6, pamoja na kua na historia ya kufukuzwa shule na kwenda kusoma shule zingine, kama ulikua hauna taarifa alikuaga ni mwalimu wa chemistry pata taarifa mkuu kama PHD amepata kwa kubebwa licha ya kua na uwezo mdogo darasaniMbona kwenye CV yake hakuna hiyo diploma ya ualimu mkuu au niliyoiona mini siyo yenyewe
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app