Uchaguzi 2020 Uwasilishaji wa sera za CHADEMA umeshiba na ndio unaoleta kizaazaa Lumumba

Wavune uonevu waliopanda,na matunda machungu ambayo hawakutarajia. Lakini inawabidi wayakubali.
 
Sasa Unasema Ccm Hoyee
Watu Wanakunyooshea Vidole Viwili Juu
Mgombea Nafasi Ya Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Kwa Tiketi Ya Chama Dola
[emoji23][emoji1787][emoji16][emoji3][emoji28][emoji1][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji849][emoji144][emoji111][emoji111]

Ndugu yangu wanaweza kumzisha babu yule.

Wananchi wakali saivi hawati stori za ndege na vidaraja eti

 
Angalia Mungu alivyotuvusha kwenye janga la Corona baada ya kumpa Magufuli maono.

Uyo Lissu wenu alikua anaandika ngonjera tu mitandaoni.
Nani kakudanganya?

Chaguo la Mungu kwa kupoteza uhai kina Ben, Azory? Na vile viroba vya maiti coco beach? Akwilina nk...

Chaguo la Mungu kuwatesa na kumbambikia kesi watu kina mdude, Tito, Nusrat, Twaha etc?

Chaguo la Mungu kuwatesa masheikh mahabusu?

Chaguo la Mungu kuwapora passports mapadre na maaskofu wanasema ukweli?

Embu kalale.

Ni yeye
 

Attachments

  • IMG_20200915_200437.jpeg
    90.3 KB · Views: 1
Atajua Hajui huu mwaka.

Si alisema siasa mpaka 2020?

Aliyoyafanya yote 2015-2020 yanaonekana ni UPUUZI.

Lazima upaniki hata Kama ni wewe[emoji23][emoji23]
Ila kweli 5yrs unafanya kazi peke yako harafu anakuja mtu ambaye hajawafanyia wananchi hata uniti moja ya umeme lakini wanamshabikia yeye?
 
Hizo ni tuhuma tu na kwa vile huna ushahidi zinabaki kuwa tuhuma tu bwashee.
 
Unaumia ndg ???
 
Ila kweli 5yrs unafanya kazi peke yako harafu anakuja mtu ambaye hajawafanyia wananchi hata uniti moja ya umeme lakini wanamshabikia yeye?
Ndio Hapo tena wameenda mbali wanzoemea "HATUKUTAKIIIII"[emoji23][emoji23]

Dah, watamuaa mzee wa watu na best yake hayupo ni marehemu.

 
Lissu alisoma HGE Galanos tanga alipiga Div 1 kali sana...huyo mwamba sijui alisomaga wapi ila akaenda Diploma ualimu
 
October 28
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…