Tetesi: Uwazi wa RC Makonda na StarTv siri hii hapa nje ndani

Dialo ukikosea kurusha matangazo ya bashite ujue utapigwa tu nasema utapigwa tu hakuna namna
 
Hivi Diallo ni mtu wa kutishwa?Bavicha hebu muacheni makonda mnakiuka viapo vyenu vitawadhuru
 
hizo habari kwa mtu makini akziisoma ni umbeya mtupu, deni la TRA huwa hayafutwi kihivyo sansana yatacheleweshwa kulipwa. Diallo amekuwa ndani ya chama kabla ya makonda na mwanza ni miongoni mwa mikoa ambayo kila mgombea urais alitaka kuweka ngome yake huyo makonda mnampa chat kwa habari za uongo kama hizo
 
Hivi ile PhD ya Diallo iliyokuwa na ubashite imeishia wapi..?
Maana kuna kipindi msema kweli alikomaa nae kinoma.
 
Hivi Diallo ni mtu wa kutishwa?Bavicha hebu muacheni makonda mnakiuka viapo vyenu vitawadhuru
Mwambie Mkulu aache kukiuka viapo vyake kwanza kabla hujaanza kuwaambia wengine
 
Mwambie Mkulu aache kukiuka viapo vyake kwanza kabla hujaanza kuwaambia wengine
Acha kudandia treni kwa mbele,tunamzungumzia Makonda hapa.Kama unataka viapo vya mkulu fungua thread yake tutajadili sawa dada?
 
Acha kudandia treni kwa mbele,tunamzungumzia Makonda hapa.Kama unataka viapo vya mkulu fungua thread yake tutajadili sawa dada?
Wewe ndio giza kabisa!
Hujui alipo Bashite ndio alipo Mkulu??

Haya endelea kutoa povu, habari ishavuja, atengeneze nyingine tena tumseme
 
The question is, will the public buy his story? Or he just want to masturbate. Why did it take so long for him to realize this? What did he do in Moshi with that old man called Saddik?
 
Sounds like The Godfather (mafia style), but what do I know?
 
Yumkini wewe unaishi manzese, mbagala, tandale, uwanja wa FISI, keko machine's, mabibo Sahara n.k. wana JF nadhani mmenifahamu
 
Hili ni darasa huru kijana,,,,,,unahisi umenisahihisha hahahaaaaaaa......pole sana!
 
Kipindi chao kimeisha,watafute episode nyingine.iyo star tv yenyewe nani anaangalia?no body.yaan kama nyota isha acha kung'aa hata ufanyeje.tena aanze kutafuta kazi ya kufanya manake siasa hana mvuto tena
 
Haha haya yote yamekuja baada ya makonda kuanzisha vita dhidi ya wauza Madawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…