Tetesi: Uwazi wa RC Makonda na StarTv siri hii hapa nje ndani

Tetesi: Uwazi wa RC Makonda na StarTv siri hii hapa nje ndani

Wanachama wa CCM karibu Mwanza nzima hawawezi kumrudisha tena kwenye nafasi yake ya uwenyekiti wa CCM wa mkoa, wameishamtengea nafasi hiyo Said Mecky Sadik

Ataanguka kutoka kumiliki ndege za abiria za Community Air mpaka atapanda boda boda.
 
UWAZI WA MAKONDA STAR TV SIRI HII HAPA NJE NDANI!

Baada ya Paul Makonda hali yake kisiasa kuchafuka kutokana na matendo yake hivi karibuni alikuja Mwanza na kubaini kuwa kwa sasa amepoteza mvuto Kabisa kutokana na kukosa kiki kwenye vyombo vya habari na baadhi ya marafiki zake kuanza kumkimbia.


Inasemekana ujio wa Makonda Mwanza ilikuwa ni Kwa ajili ya kuweka mambo sawa na Mkurugenzi wa Star Tv ndugu Antony Dialo, ambaye walikutana Kwa siri na Mkurugenzi huyo.

Imebainika kuwa Makonda alikuja Kwa malengo matatu la kwanza ni kujaribu kuweka mambo sawa na Dialo ambaye pia ni mwenyekiti wa chama mkoa wa Mwanza ambaye anaunga mkono tamko la Jukwaa la wahariri kutokurusha habari za Makonda.

Imefahamika katika lengo la kwanza walimtisha mzee Dialo kama atashindwa kufanya kazi pamoja na Makonda watamuondoa mara moja ndani ya chama Kwa kumvua nyadhifa zote za uongozi.

Jambo la pili tulilodokezwa ni kwamba Hali ya uchumi ni mbaya katika kampuni ya Sahara iliyopelekea MD wake ndugu Sammy Nyala kuondoka kutokana kushuka sana kibiashara katika kampuni hiyo inayomilikiwa na Mzee Dialo siku hizi hawafanyi vizuri kibiashara na ukichangia na Deni la zaidi ya shilingi bilioni nne kutoka TRA.

Makonda alimuhaidi atamsaidia kuongea na mamlaka za juu kumpatia TAX HOLIDAY endapo atakubali kufanya naye kazi na kurusha taarifa zake Yeye Makonda.

Makonda katika safari ya Mwanza aliambatana na Ray pamoja JB ambaye hivi karibuni amemteua kuwa mhamasishaji wa wasanii katika kusambaza taarifa za Makonda mitandaoni.

Katika Siku ya Pili pale Malaika Resort Makonda alisikika akiongea kwenye simu na mtu ambaye alionekana kumtii sana ndani ya chama na kumpatia taarifa juu ya adhima ya Antony Dialo kuifikiria zaidi nafasi ya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi.

Jioni walipokutana Katika hotel ya Malaika Resort Majira ya Jioni Gari ya mzee Dialo ilifika, Makonda na Dialo walizungumza tena Kwa kirefu na kupanga jinsi gani wataweza kufanya kazi pamoja mojawapo ni kujisafisha kuhusu uvamizi wa Clouds Media ili kuizima ishu ya Uvamizi mipango ipangwe haikuwa ishu ya Gwajima bali tetesi za uwepo wa Dawa za kulevya rejea tamko aliloliandika Mzee Dialo.

Pia wakati wanazungumza na Mzee Dialo, Makonda alimjulisha kuwa tayari mipango ya kumuandalia nafasi ya Ukatibu mkuu ndani ya chama CCM Taifa imekwishaiva hivyo asiwe na wasiwasi pale Mkutano Mkuu Taifa utakapoitishwa muda wowote kuanzia sasa kumjadili Nape Nnauye basi ndiyo utakuwa muda muafaka wa jambo lake kuingizwa kwenye ajenda ya Mkutano Mkuu.



Chanzo kilidokeza kuwa Makonda alimuhaidi kumpatia Dialo Kiasi cha fedha ambacho atachukua kutoka kwa Wafanyabiashara marafiki zake wa Dar kwa ajili ya kumsaidia kulipa madeni na Mishahara kwa wafanyakazi wake Kwa mwezi wa 3 hadi wa 6 kwani inasemeka wafanyakazi hao wengi wao bado hawajalipwa Mishahara yao isipokuwa posho ndogo zilizopo Kwa ajili ya kujikimu kwa kuwa hali ya Uchumi kwenye kampuni hiyo ni Mbaya sana.

Kingine Makonda amehaidi kumsaidia Anthony Dialo kwa kumpatia ulinzi kwa kipindi Chote watakachokuwa wanafanya kazi pamoja kumlinda na hasira kutoka Kwa waandishi wasio unga mkono harakati za Makonda.

Baada ya kumaliza Maongezi na na Makonda inasemekana Dialo aliwaita wafanyakazi wake na kujadiliana wajipange jinsi gani ya kufanya kazi na Makonda kitu ambacho Wafanyakazi wametafsiri kuwa ni ishara mbaya kwa kituo hicho cha habari hasa ikichangiwa na uhusiano mbovu na dharau alizozionyesha Makonda kipindi cha nyuma kwa wafanyakazi wa kituo hicho.

Unaambiwa Baada ya Antony Dialo kumaliza kile kikao aliwashinikiza wafanyakazi wake kuwa asiyetaka aondoke akatafute kazi sehemu nyingine Kwa kuwa tayari ajenda pekee alizobaki nazo kwa siri kichwani ni Ukatibu Mkuu wa chama na kusamehewa madeni anayodaiwa.

Kwa Taarifa zilizopo mzee Dialo alikwenda South Africa haijulikani alikwenda kufanya nini, nitaendelea kuwajuza kwa kadri iwezekanavyo juu ya ziara hiyo na kila kitu kitakuwa wazi.

Hii sasa ni kufuru kama Paul Makonda ataendelea kutumia ukaribu wake na Mamlaka za juu ili tu aendelee kujinufaisha Kwa maslahi yake binafsi.
Sikutegemea maelezo tofauti
 
Mamlaka za juu hata ziwe juu vipi haziwezi zidi vichwa vya watu hasa watu werevu na wenye utambuzi wa baya na zuri,kama watu hawa wamekataa hata sura yako itokee juu ya Maji jua wamekataa tu. Tatizo kubwa la Makonda hana kauli nzuri,kiburi na majivuno kwa Sana'a kiasi kwamba wnafikia mpaka kuwaona Binadamu wote wanaomzunguka ni wajinga na wanastahili kuchapwa viboko kama alivyosema kwenye speech yake ya mwisho hivyo sitashangaa hata akionekana huko Star tv akaendelea kuongea mbovu mbovu

Na Utabiri huu ukatimia!!
 
Vyombo vya habari vyote vingekuwa huru kumuhoji Makonda / Bashite bila figisu za baraza la habari sijui, kusingekuwa na ubishi wote huu.

Habari za wingu hili zimetengenezwa na wanahabari wenyewe kwa kumfanya Bashite bidhaa adimu.
 
UWAZI WA MAKONDA STAR TV SIRI HII HAPA NJE NDANI!

Baada ya Paul Makonda hali yake kisiasa kuchafuka kutokana na matendo yake hivi karibuni alikuja Mwanza na kubaini kuwa kwa sasa amepoteza mvuto Kabisa kutokana na kukosa kiki kwenye vyombo vya habari na baadhi ya marafiki zake kuanza kumkimbia.


Inasemekana ujio wa Makonda Mwanza ilikuwa ni Kwa ajili ya kuweka mambo sawa na Mkurugenzi wa Star Tv ndugu Antony Dialo, ambaye walikutana Kwa siri na Mkurugenzi huyo.

Imebainika kuwa Makonda alikuja Kwa malengo matatu la kwanza ni kujaribu kuweka mambo sawa na Dialo ambaye pia ni mwenyekiti wa chama mkoa wa Mwanza ambaye anaunga mkono tamko la Jukwaa la wahariri kutokurusha habari za Makonda.

Imefahamika katika lengo la kwanza walimtisha mzee Dialo kama atashindwa kufanya kazi pamoja na Makonda watamuondoa mara moja ndani ya chama Kwa kumvua nyadhifa zote za uongozi.

Jambo la pili tulilodokezwa ni kwamba Hali ya uchumi ni mbaya katika kampuni ya Sahara iliyopelekea MD wake ndugu Sammy Nyala kuondoka kutokana kushuka sana kibiashara katika kampuni hiyo inayomilikiwa na Mzee Dialo siku hizi hawafanyi vizuri kibiashara na ukichangia na Deni la zaidi ya shilingi bilioni nne kutoka TRA.

Makonda alimuhaidi atamsaidia kuongea na mamlaka za juu kumpatia TAX HOLIDAY endapo atakubali kufanya naye kazi na kurusha taarifa zake Yeye Makonda.

Makonda katika safari ya Mwanza aliambatana na Ray pamoja JB ambaye hivi karibuni amemteua kuwa mhamasishaji wa wasanii katika kusambaza taarifa za Makonda mitandaoni.

Katika Siku ya Pili pale Malaika Resort Makonda alisikika akiongea kwenye simu na mtu ambaye alionekana kumtii sana ndani ya chama na kumpatia taarifa juu ya adhima ya Antony Dialo kuifikiria zaidi nafasi ya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi.

Jioni walipokutana Katika hotel ya Malaika Resort Majira ya Jioni Gari ya mzee Dialo ilifika, Makonda na Dialo walizungumza tena Kwa kirefu na kupanga jinsi gani wataweza kufanya kazi pamoja mojawapo ni kujisafisha kuhusu uvamizi wa Clouds Media ili kuizima ishu ya Uvamizi mipango ipangwe haikuwa ishu ya Gwajima bali tetesi za uwepo wa Dawa za kulevya rejea tamko aliloliandika Mzee Dialo.

Pia wakati wanazungumza na Mzee Dialo, Makonda alimjulisha kuwa tayari mipango ya kumuandalia nafasi ya Ukatibu mkuu ndani ya chama CCM Taifa imekwishaiva hivyo asiwe na wasiwasi pale Mkutano Mkuu Taifa utakapoitishwa muda wowote kuanzia sasa kumjadili Nape Nnauye basi ndiyo utakuwa muda muafaka wa jambo lake kuingizwa kwenye ajenda ya Mkutano Mkuu.



Chanzo kilidokeza kuwa Makonda alimuhaidi kumpatia Dialo Kiasi cha fedha ambacho atachukua kutoka kwa Wafanyabiashara marafiki zake wa Dar kwa ajili ya kumsaidia kulipa madeni na Mishahara kwa wafanyakazi wake Kwa mwezi wa 3 hadi wa 6 kwani inasemeka wafanyakazi hao wengi wao bado hawajalipwa Mishahara yao isipokuwa posho ndogo zilizopo Kwa ajili ya kujikimu kwa kuwa hali ya Uchumi kwenye kampuni hiyo ni Mbaya sana.

Kingine Makonda amehaidi kumsaidia Anthony Dialo kwa kumpatia ulinzi kwa kipindi Chote watakachokuwa wanafanya kazi pamoja kumlinda na hasira kutoka Kwa waandishi wasio unga mkono harakati za Makonda.

Baada ya kumaliza Maongezi na na Makonda inasemekana Dialo aliwaita wafanyakazi wake na kujadiliana wajipange jinsi gani ya kufanya kazi na Makonda kitu ambacho Wafanyakazi wametafsiri kuwa ni ishara mbaya kwa kituo hicho cha habari hasa ikichangiwa na uhusiano mbovu na dharau alizozionyesha Makonda kipindi cha nyuma kwa wafanyakazi wa kituo hicho.

Unaambiwa Baada ya Antony Dialo kumaliza kile kikao aliwashinikiza wafanyakazi wake kuwa asiyetaka aondoke akatafute kazi sehemu nyingine Kwa kuwa tayari ajenda pekee alizobaki nazo kwa siri kichwani ni Ukatibu Mkuu wa chama na kusamehewa madeni anayodaiwa.

Kwa Taarifa zilizopo mzee Dialo alikwenda South Africa haijulikani alikwenda kufanya nini, nitaendelea kuwajuza kwa kadri iwezekanavyo juu ya ziara hiyo na kila kitu kitakuwa wazi.

Hii sasa ni kufuru kama Paul Makonda ataendelea kutumia ukaribu wake na Mamlaka za juu ili tu aendelee kujinufaisha Kwa maslahi yake binafsi.
Upuuzi mtupu na tamaa ya watanzania Dialo ni Kati ya makatilib asiyekuwa na huruma hata kidogo ni katili kwa wafanyakazi wake na hata kwa jamii yake huruma kwake mwili na ndo maana hata TV yake kwa ss haina mvuto tena na jamii pili ni mkwepa kodi toka lini serikali ikawa karibu na mkwepa kodi?wacha tuone huyo makonda atapetape lkn kwa ss akae skujua amekamatwa hana tena namna
 
Masikini diallo,from hero to zero,kampuni inakufa,utajiri umekwisha,amekwisha sasa diallo,kaisha kabisa,tangu kutengeneza majiko ya umeme mpaka kuomba hela kwa vitoto kama DAB
Lini alitengeneza majiko kama c kuwafukuzisha nchini wenye kutengeneza hayo majiko na kujimilikisha mwenyewe zambi hiyo haikwepeki
 
Hivi Diallo ni mtu wa kutishwa?Bavicha hebu muacheni makonda mnakiuka viapo vyenu vitawadhuru
Kwa vile lumumba mmeshazoea kula viapo vya kishirikina na sirikali yenu mnafiiri upinzani nao ni hivyo hivyo
 
Acha wafu wazikane na wafu wenzao, Bashite ni "mfu" na Diallo ni "mfu" mwenzie.. Naona wameamua kushare kaburi lao
 
Bosi wake ndo anampa kiburi chote hiki huyu bashte. Dialo anaiangamiza kampuni ya star media kwa mikono yake. Nilishangaa sana baada ya kuona tangazo hilo star TV nikawaza lazima kuna jambo la siri na sasa imefichuka. Hapo bashte umejificha kwenye shamba la karanga.

Na kwa taarifa yenu-Mhe.RC mchapa kazi,mtetezi wa wanyonge, Paul Makonda ameshafunguka kwamba jina la Bashite si lake na kwamba halitambui (Soma Gazeti la Uhuru la leo 23/05/2017).Mtu yeyote atakayeendelea kulitumia iwe hadharani,kwenye magazeti au kwenye mitandao ya kijamii tutakabiliana naye kuanzia leo.Hatutaki mchezo na wauza unga.Tutamshughulikia.Chapa kazi Makonda.
 
Najaribu kuwaza namna mleta mada alivyoweza kukusanya habari hizi...
 
Na kwa taarifa yenu-Mhe.RC mchapa kazi,mtetezi wa wanyonge, Paul Makonda ameshafunguka kwamba jina la Bashite si lake na kwamba halitambui (Soma Gazeti la Uhuru la leo 23/05/2017).Mtu yeyote atakayeendelea kulitumia iwe hadharani,kwenye magazeti au kwenye mitandao ya kijamii tutakabiliana naye kuanzia leo.Hatutaki mchezo na wauza unga.Tutamshughulikia.Chapa kazi Makonda.
Nani asome hayo makaratasi, kwahiyo unaona jamaa yako amefanya jambo la maana sana kulikataa jina lake halali kwa ajili ya mkate? Hiyo ni aibu na laana! Hilo la wauza unga kawadanganyeni mabashite wenzenu, wala msitake kuwafanya watu wajinga!
 
Kwa vile lumumba mmeshazoea kula viapo vya kishirikina na sirikali yenu mnafiiri upinzani nao ni hivyo hivyo
Sakata la Lowassa linawatafuna nyie wanafiki.Mliapa lowassa hasafishiki na hatakanyaga chadema,mkatumia dakika 30 tu kumfanya mgombea.Kwa sasa anawamaliza taratiiibu huku mnajiona na wewe unajua kuwa chadema ya may 2015,sio ya leo!
 
Sakata la Lowassa linawatafuna nyie wanafiki.Mliapa lowassa hasafishiki na hatakanyaga chadema,mkatumia dakika 30 tu kumfanya mgombea.Kwa sasa anawamaliza taratiiibu huku mnajiona na wewe unajua kuwa chadema ya may 2015,sio ya leo!
mimi ni non-partisan, lakini penye ukweli nafikiri hata wewe mwenyewe japo ni kada mtiifu, unaufahamu.

CCM inajua kabisa kuwa indictment ya lowassa ndo kiama cha CCM ndo maana CCM wanaishia kupiga jaramba tu.

SWALI; Mahakama ya mafisadi ipo kwanini msimshtaki lowassa huko?

BASHITE alete vyeti hayo mengine hatutaki kujua.
 
Makonda alimuhaidi atamsaidia kuongea na mamlaka za juu kumpatia TAX HOLIDAY endapo atakubali kufanya naye kazi na kurusha taarifa zak
JF inaelekea Shimoni.. Hii nayo ni habari ndani ya JF.. Mngejua thamani ya JF.. Msingeleta matakataka haya
 
Back
Top Bottom