Uwe na moyo kama huu...

Uwe na moyo kama huu...

Sax

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
3,578
Reaction score
6,740
Katika uchunguzi Wangu Sijaona nguo aminifu na vumilivu kama Nguo ya ndani alimaarufu Kama "CHUPI...!" Inaona mengi lakini haitoi siri.. Inahifadhi nyeti zenye kila aina na kila sifa kuna Kubwa na Ndogo pia, Inahifadhi Nywele za kule chini zilizo safi na chafu.. Inabebeshwa PEDI na Dushelele.. Lakin Iko Kimyaa..! Inavumilia harufu mbaya ya JASHO, MIKOJO na MASHUZI.. Hiyo Nguo jamani...! Watu wakifanya ngono huvuliwa na kutupwa kulee Tena inarushwa na teke la Mguu ... Na baadae ikirudiwa haifanyi nongwa, hainuni wala kulalamika. Hivyo nakuombea na wewe uwe na Moyo kama wa CHUPI...
 
Katika uchunguzi Wangu Sijaona nguo aminifu na vumilivu kama Nguo ya ndani alimaarufu Kama "CHUPI...!" Inaona mengi lakini haitoi siri.. Inahifadhi nyeti zenye kila aina na kila sifa kuna Kubwa na Ndogo pia, Inahifadhi Nywele za kule chini zilizo safi na chafu.. Inabebeshwa PEDI na Dushelele.. Lakin Iko Kimyaa..! Inavumilia harufu mbaya ya JASHO, MIKOJO na MASHUZI.. Hiyo Nguo jamani...! Watu wakifanya ngono huvuliwa na kutupwa kulee Tena inarushwa na teke la Mguu ... Na baadae ikirudiwa haifanyi nongwa, hainuni wala kulalamika. Hivyo nakuombea na wewe uwe na Moyo kama wa CHUPI...
Kwahiyo wewe ni chupi?
 
Siyo kweli.Kuwa mchafu uone chupi "inavyofyonza" harufu na unyevu halafu inakutangaza kwa kutoa harufu/siri.Nani anapenda siri zake kuvuja kizembe?
 
Hongera kwa kuwa na moyo kama chupi
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Back
Top Bottom