Tempest
JF-Expert Member
- Apr 26, 2022
- 245
- 430
Habari wadau
Nataka kuweka tank juu la 3000 lita liingize maji ndani sababu maji ys dawasa hayaeleweki yaani kutoka siku tatu mfululizo ni bahati kwahyo ikitokea hakuna ni mwendo wa kutoka na ndoo nje kuchota kwenye tank
Je tank likiwa juu presha ya maji inakuwa nzuri kutumia kama kwenye shower na mambo mengine kama inavyokuwa majinya dawasa kwenye ubora wake
Na pia utaratibu umekaaje kwenye kulijaza tank yaani yanaingia kwenye tank na kisha yanatoka kwenye tank kuingia ndani? Au kuna namna gani ya kuuweka sawa huu mfumo
Na makadirio ya gharama kufanikisha hili
Ahsanteni.
Nataka kuweka tank juu la 3000 lita liingize maji ndani sababu maji ys dawasa hayaeleweki yaani kutoka siku tatu mfululizo ni bahati kwahyo ikitokea hakuna ni mwendo wa kutoka na ndoo nje kuchota kwenye tank
Je tank likiwa juu presha ya maji inakuwa nzuri kutumia kama kwenye shower na mambo mengine kama inavyokuwa majinya dawasa kwenye ubora wake
Na pia utaratibu umekaaje kwenye kulijaza tank yaani yanaingia kwenye tank na kisha yanatoka kwenye tank kuingia ndani? Au kuna namna gani ya kuuweka sawa huu mfumo
Na makadirio ya gharama kufanikisha hili
Ahsanteni.