jombi95
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 1,408
- 2,184
Wakuu .
Kheri ya Christmas na Mwaka Mpya .
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza kwa wale ambao waliwekeza kwa mwaka 2018. Je uwekezaji gani ulikulipa vizuri na changamoto zipi ulikutana nazo .?
Lengo la hii thread tupate elimu kwa sisi ambao ndo tunataka kuingia kwenye ujasiriamali na uwekezaji .
Binafsi, nilijaribu kuwekeza kwenye zao la korosho baada ya kujichanga kwenye pesa yangu ya boom nikapata kama 600k hivi ila uwekezaji haukuenda kama nilivyotarajia . Inshort nimekula knockout ila sijakata tamaa 2019 inshaalah nitajaribu tena upande mwingine .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kheri ya Christmas na Mwaka Mpya .
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza kwa wale ambao waliwekeza kwa mwaka 2018. Je uwekezaji gani ulikulipa vizuri na changamoto zipi ulikutana nazo .?
Lengo la hii thread tupate elimu kwa sisi ambao ndo tunataka kuingia kwenye ujasiriamali na uwekezaji .
Binafsi, nilijaribu kuwekeza kwenye zao la korosho baada ya kujichanga kwenye pesa yangu ya boom nikapata kama 600k hivi ila uwekezaji haukuenda kama nilivyotarajia . Inshort nimekula knockout ila sijakata tamaa 2019 inshaalah nitajaribu tena upande mwingine .
Sent using Jamii Forums mobile app