Uwekezaji kilimo Tanzania

Uwekezaji kilimo Tanzania

Domenia

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
462
Reaction score
23
Niwakati wa kua Makini na Mikataba ya uwekezaji ya Kilimo- kulingana na upeo na fikra na ulimbikeni wa viongozi tuliona-tusipokua makini matokeo yatakua ni tofauti na matarajio ya wananchi...
ni bora na ni wakati kwa selikari kutafakari...
Wakulima wadodo wadogo waliopo ndio wapewe kipaumbele- muda si mrefu watakua wakulima wakubwa.
haina maana yeyeote kuleta au kuvutia wawekezaji kwenye kilimo bila kufikiria..

angalia video kutoka thegurdian- Mali land grabs: 'You can take everything from a farmer but not his land' – video | Global development | theguardian.com









hulksahre.com
 
Back
Top Bottom