Domenia
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 462
- 23
Niwakati wa kua Makini na Mikataba ya uwekezaji ya Kilimo- kulingana na upeo na fikra na ulimbikeni wa viongozi tuliona-tusipokua makini matokeo yatakua ni tofauti na matarajio ya wananchi...
ni bora na ni wakati kwa selikari kutafakari...
Wakulima wadodo wadogo waliopo ndio wapewe kipaumbele- muda si mrefu watakua wakulima wakubwa.
haina maana yeyeote kuleta au kuvutia wawekezaji kwenye kilimo bila kufikiria..
angalia video kutoka thegurdian- Mali land grabs: 'You can take everything from a farmer but not his land' â video | Global development | theguardian.com
hulksahre.com
ni bora na ni wakati kwa selikari kutafakari...
Wakulima wadodo wadogo waliopo ndio wapewe kipaumbele- muda si mrefu watakua wakulima wakubwa.
haina maana yeyeote kuleta au kuvutia wawekezaji kwenye kilimo bila kufikiria..
angalia video kutoka thegurdian- Mali land grabs: 'You can take everything from a farmer but not his land' â video | Global development | theguardian.com
hulksahre.com