Uwekezaji Kwenye Uber!

Roho ya kukunja .....kama una roho ya ndoano ujue wengine ujue hawako ivo....kama una bahati mbaya katka maisha yako bas ujue wengine wamebarikiwa....Asante kwa kunielewa
hii biashara bora uendeshe mwenyewe km huna kazi, madereva wanasumbua
 
Kwa hali ya sasa hyo hela n ngumu kutokana mfumo mpya wa uber now unawalipa wao ....mfano mm kutokana na ufanyaj kaz wang n trip 7 had kumi kwa siku dail..bas ujue kwa wiki ujiandae kuwalipa zaid ya elfu 20 .....mfumo mpya huo wa uber umeanza tarehr 16 mwezi huu....Asanten kwa kunielewa
Aliesema lazima iwe 25000 kwa siku nani?
mfumo huo naona dereva ndo anafaidika kuliko mwenye gari
 
Kwani bajaji kwa mkataba ni bei gani per day na ni kwa muda gani
 
Sasa na ile pesa waliyokuwa wakiwaingizia madereva kwenye akaunti zao vipi?

Mkuu na unataka kusema sasa hivii uber hailipi?

 
Mbona watu hawaeleweki kuna wengine wanasema uber inalipa na wengine wanasema siku hizi inazingua hata kama ukiendesha mwenyewe
 
Mkuu nimefeli kupata wazo zuri hapa la kibiashara, mana kila nikipima mawazo ya pande zote mbili sipati jibu[emoji3][emoji3]

Mbona watu hawaeleweki kuna wengine wanasema uber inalipa na wengine wanasema siku hizi inazingua hata kama ukiendesha mwenyewe
 
Biashara nyingi ambayo huifanyi mwenyewe, au huna usimamizi wa karibu muda mwingi ni ngumu sana.

Mambo kama hayo ndio yalifanya Wahenga wakaja na semi kama 'cha Mtu ma..vy', 'asiyekuwepo na lake halipo', 'mtumaini cha nduguye hufa masikini', 'meno ya kuazima hutafunia hata mchanga'n.k.
 
Haipo tena sa iv hakuna marupurupu tena...sa iv madereva wana lilia kadi wapunguze maadeni....hali n mbaya kwa kweli....wengi watarudsha magari siku za usoni.....Ingawa mm naifanya ila cha moto nakiona......na usithubutu ujiunge na taxify n wezi sana....mtu una mpakia toka mlimani cty up to kariakoo ina soma elfu tatu kweli......
Sasa na ile pesa waliyokuwa wakiwaingizia madereva kwenye akaunti zao vipi?

Mkuu na unataka kusema sasa hivii uber hailipi?
 
Ehhh!!! Kwa ajili ya nini sasa?
Uber haikuanzishwa kwaajiri ya biashara kama tunavyofanya wabongo, hii ni kwaajiri ya watu binafsi kutumia magari yao kutoa lifti kwa wakazi wa jiji husika na kujipatia tip kwa kazi hiyo.

Sasa hizi fujo za sijui Sumatra, tra, sijui nini ni upuuzi wa watanzania kuharibu jambo ambalo lingekuwa msaada sana kwa raia kujiongezea kipato nyakati hizi za ugumu wa maisha
 
Nakubliana na wewe mkuu, hapo kwenye kodi na vbali vingi serikali yetu inaumiza, kwa hapa kenya UBER inafanya vizuri mtu anaacha kazi na anajikmu kabisa ila sio kwetu Tanzania.

Pia uwezo wa watu wa kununua umepungua sio kwenye UBER peke yake hata biashara zingine angalia biashara nyingi zinavyofungwa kama JUMIA na nyinginezo.
 

Asee Hii Ndio Naisikia Kwako Mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…