mama dunia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2011
- 420
- 84
Hi jfs..
Mi nina ushauri kidogo kwa wajasiriamali madaktari.
Hapa tz mikoa mingi haina mashine za vipimo tofauti tofauti.
So jiungeni mchange au mchukue mkopo mnunue mashine then muwe mnatoa huduma kwa fee fulan yenye faida.
Mfano mdogo ni tanga hawana ct scan na wagonjwa wanaenda hosp zingine dar.moshi etc-najua ni expensive lakini mnaweza kujipanga na mkafanikisha..mwanza bugando eeg mbovu hio ni mifano midogo tu.
Wabeja
Mi nina ushauri kidogo kwa wajasiriamali madaktari.
Hapa tz mikoa mingi haina mashine za vipimo tofauti tofauti.
So jiungeni mchange au mchukue mkopo mnunue mashine then muwe mnatoa huduma kwa fee fulan yenye faida.
Mfano mdogo ni tanga hawana ct scan na wagonjwa wanaenda hosp zingine dar.moshi etc-najua ni expensive lakini mnaweza kujipanga na mkafanikisha..mwanza bugando eeg mbovu hio ni mifano midogo tu.
Wabeja