Rashda Zunde
JF-Expert Member
- May 28, 2022
- 204
- 231
Kwa yanayoendelea kuhusu uwekezaji wa bandari maoni yangu ni kwamba wasiwasi ndio akili lakini ndugu zangu Watanzania hakuna jambo baya linalofanyika au litakalofanyika.
Huu uwekezaji hauna shida kwani utakuwa na faida kadha wa kadha kwa nchi na sisi wananchi kwa ujumla.
Tutambue kwamba tusipokuwa na mwekezaji wa uhakika kama DP WORLD kwenye bandari yetu, SGR itajikuta inapaki kwa kukosa mizigo.
DP WORLD itasaidia kupunguza gharama ya usafirishaji wa shehena kutoka Dola za Marekani 12,000 hadi Dola za Marekani 6,000 au 7,000 kwa kontena linalokwenda Malawi, Zambia au DRC.
Ajira zitaongezeka kutoka 28,990 hadi 71,907 sawa na ongezeko la 148%.
Hivyo basi, uchumi utaimarika kama yalivyo malengo ya serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Huu uwekezaji hauna shida kwani utakuwa na faida kadha wa kadha kwa nchi na sisi wananchi kwa ujumla.
Tutambue kwamba tusipokuwa na mwekezaji wa uhakika kama DP WORLD kwenye bandari yetu, SGR itajikuta inapaki kwa kukosa mizigo.
DP WORLD itasaidia kupunguza gharama ya usafirishaji wa shehena kutoka Dola za Marekani 12,000 hadi Dola za Marekani 6,000 au 7,000 kwa kontena linalokwenda Malawi, Zambia au DRC.
Ajira zitaongezeka kutoka 28,990 hadi 71,907 sawa na ongezeko la 148%.
Hivyo basi, uchumi utaimarika kama yalivyo malengo ya serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.