monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
Hizo zote unalipa wewe mlaji wa mwishoHawalipi kodi kiaje? Na zile EFDs je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo zote unalipa wewe mlaji wa mwishoHawalipi kodi kiaje? Na zile EFDs je?
Aisee kumbe nilikuwa naogopa bure.Hizo zote unalipa wewe mlaji wa mwisho
Pia kuanguka na kusimama tena nikawaida sanaSalamu zimefika , bora uvumilie challenge mwisho biashara ikishafunguka na ww unaweza ukatanua zaidi.
Miaka 60+ bond unawekea wajukuu labdaNgoja niendelee kusoma comments kujifunza, ila bond kwa wastaafu nadhani ni kitu chema
Sasa utakuwa unaomba wanao hela kila siku ndugu ukiweka sehemu ya pension yako ukawa unakula faida pole pole kuna ubaya kwani???Miaka 60+ bond unawekea wajukuu labda
Biashara gan mkuuMtaji wa million 100 ukifanya biashara ni more profitable.Mzee wang Ana biashara yake moja mtaji imegharimu almost 70m Kwa wiki analaza mpka 2.5M (kwa mwezi 10m)ikipungua saan ni 1.5m anapiga (kwa mwezi 6m) ukitoa marupurup ya serikal kwa mwka ni kama 2m.-4m
Changamoto kubwa la stress kazi zikiwa haziend vizuri kutokana na matarajio yake.na chamoto anakutana nacho