Nani kakuambia anaondoka 2030 kwani si ndio atakuwa anamaliza muhula wake wa kwanza?Kwenye kilimo NAMI naungana na serikali vijana tuhakikishe Samia akiondoka ofisini 2030 pia tuwe na aseti za mamilioni zilizotokana na kilimo.
Ndio lengo la Serikali Kupitia ajenga 1030.Kweli mmedhamiria ila bado sana
Inatakiwa tulime cash crops kwa wingi sana
Serikali ipambane ili tuuze sana nje
Team wizara ya kilimo wako vizuri sana kwenye kazi zao
Una maana 2030Ndio lengo la Serikali Kupitia ajenga 1030.
Mipango iliyopo ni Mingi na ya maana sana ,kama itatekelezwa basi hakuna wa kutusogelea hapa Africa.
Rais Samia ni Kama Maji usipoyanywa utayaoga tuuu. Huyu Mama kama sheria zingekuwa zinaruhusu anauwezo wa Kugombea Nchi yoyote ile na akapita kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.Asiione Lucas Mwashambwa hii.
Yes ,huo mwaka target ni Kilimo kichagie 10% ya GDPUna maana 2030
Ma CHADEMA yanaumia sana yakisoma habari njema kama hizi.Ikipika wewe chemsha Ili kuweka mambo sawa mkuu Haina haja ya povu la chuki.
View attachment 3225686
Lete na wewe zako mjinga wewe.Hii sirikali ya mama kwa kupika takwimu haijambo, yale yalee tu ya mwendazake!
Misifa kibao huku unafuu wa maisha mtaani hakuna!.
Kwenye kujiendeeleza naunga mkono π―Yes ,huo mwaka target ni Kilimo kichagie 10% ya GDP
Ngano tujitosheleze Kwa 80%
Tufite habari za kuagiza Mafuta ya kula
Na mazao ya Kilimo yawe sehemu kuu ya exports ya Nchi.
Tuache kuagiza mbegu na mbolea Nje ya Nchi.
Utalisha Afrika kwa data za kupika?Ile safari ya Tanzania kulisha Afrika inaenda kutimia
Hapana Mkuu wa nyumbu wa Chadomo,tutailisha Afrika Kwa data za kuchemsha kama.hizi ππUtalisha Afrika kwa data za kupika?
Nasema hivi ww π acha kutuletea data za kupika.Hapana Mkuu wa nyumbu wa Chadomo,tutailisha Afrika Kwa data za kuchemsha kama.hizi ππ
View: https://www.instagram.com/p/DExHSYPN799/?igsh=cnFndWFlNzYxNHpm
Saizi hatupiki tunachemsha mle.chuku chuku π€£π€£ππNasema hivi ww π acha kutuletea data za kupika.
Ni kweli kabisa usemacho ww πSaizi hatupiki tunachemsha mle.chuku chuku π€£π€£ππ
View: https://www.instagram.com/reel/DFNicQUipXt/?igsh=MXU4b3dzMDV1Z3Ru
Kilimo Kitamu Asikuambie MtuNyie mnaodai Takwimu zimepikwa, leta zenu za ukweli. Ni ukweli kuwa uwekezaji mkubwa unaofanywa na serikali kwenye kilimo umeanza kulipia. Mavuno mavuno mazur na bei mzuri zimevutia raia wengi kuingia kwenye kilimo, kwahiyo sishangai kuwa namba 2 na tena muda sio mrefu t utakuwa namba 1 maana kundi kubwa la vijana hata ukiwaona wapo humu jamiiforums ila wanapost wakiwa shambani, maana ktk eneo nalo mama ameligusa Sana ni hili pia la mawasiliano. H+ inapatikana karibia kila Kona ya nchi hii.
Hapa kwetu Asilimia ya vijana wengi wameenda shambani kulima, kupo kimya, wameenda kulima ufuta.
Wanataka kumalizia majumba Yao kuezeka msauzi. Wewe subiri data za ukweli ili uandaman
Ngoja nifuatilie dataNaunga mkono hoja. Ni mda sana niliwahi sikia BBC Tanzania ni ya3 kwa uzalishaji maharage barani Africa ikiongozwa na Kigoma,Kagera,na kilimanjaro. Leo sijui tutakuwa wangapi maana Mikoa mingi inalima sana magarage ikiwemo Mby, Njombe,Songwe, Iringa.
Hii nchi haina njaa hasa zikiwepo logistic nzuri za kusambaza chakula. Kongole watanzania kwa kukifuata kilimo. Tusisahau sekta kama ya Parachichi inakuwa kwa kasi sana. Ipo sikuTZ itakuwa ya 1.
Nyumbu Mkuu huwezi shindana na Mimi huna hoja Wala facts nitazidi kukuaibisha na utaishia kutukana hovyo kama mwehu.Ni kweli kabisa usemacho ww π
Nimeona formation Moja ya mahindi unaweza pata gunia Hadi 60 Kwa acre ila ni mwendo wa mbolea tuu yaani 2:2:2:2 sawa na mifuko 8 Kwa ekari.Kilimo Kitamu Asikuambie Mtu