Uwekezaji wa Serikali ya Rais kwenye Sekta ya Kilimo wazaa matunda. Tanzania yaipiku Nigeria na kuwa Mzalishaji namba 2 wa Mahindi Afrika

Uwekezaji wa Serikali ya Rais kwenye Sekta ya Kilimo wazaa matunda. Tanzania yaipiku Nigeria na kuwa Mzalishaji namba 2 wa Mahindi Afrika

Nyumbu Mkuu huwezi shinana na Mimi huna hoja Wala facts nitazidi kukuaibisha na utaishia kutukana hovyo kama mwehu.
Anayetukana ni nani, una facts za data za kupika. Unaniabisha kwa kipi😂😂😂. Unakwama wapi🌈?
 
Ndio lengo la Serikali Kupitia ajenga 1030.

Mipango iliyopo ni Mingi na ya maana sana ,kama itatekelezwa basi hakuna wa kutusogelea hapa Africa.
Upo sahihi kiongozi, kwa kasi hii naiona dira ya 2050 kwa sekta ya kilimo ikitimia ndani ya miaka mitano ya Mh. Samia inayokuja.
Ni jambo la kipekee kutoa ruzuku ya mbolea ya Tsh. 136,495,898,332. Kwa mwana siasa angeipeleka kwenye ujenzi ungeonekana haraka. Nipongeze Serikali kwa dhamira yake ya dhati kukomboa wakulima.
 
Sera hizi ziwe endelevu hata baada ya 2030. Tafadhali watanzania asije Rais mwingine akajidai kupangua hizi sera na kuleta za kwake ili ajimwambafai. Ndugu zangu huu ni muelekeo sahihi na unaleta matokeo chanya.
 
Twala matunda ya Awamu ya Tano ama nadanganya CHADEMA wenzangu?

Vita vikimalizwa na Trump Yukraina, tutarudi nafasi yetu ya kawaida.
 
Utalisha Afrika kwa data za kupika?
Leta zako za kuchemsha.Pamoja na ujinga wako yaani ipikwe data na tani zinazozalishwa bila ushahidi wowote? Yaani ukurupuke na useme upo namba 2 Afrika kwa uzalishaji wa mahindi Afrika bila ushahidi wa ku back up takwimu unazotoa? Unataka tuamini ni rahisi hivyo?Yaani Nchi yeyote inaweza tu kupika data na zikakubaliwa?
Shirikisha ubongo unapoandika upuuzi wako ili utakachoandika kilete mantiki.
Upinzani sio kujitoa fahamu.
 
Twala matunda ya Awamu ya Tano ama nadanganya CHADEMA wenzangu?

Vita vikimalizwa na Trump Yukraina, tutarudi nafasi yetu ya kawaida.
Ujinga haujawahi kumuacha mtu huru.Vita ikiisha Ukraine itahamia Bara la Afrika?
Umesoma hata kilichoandikwa au umerukia tu kama nyumbu anayefuata mkumbo.Herd thinking?
 
Leta zako za kuchemsha.Pamoja na ujinga wako yaani ipikwe data na tani zinazozalishwa bila ushahidi wowote? Yaani ukurupuke na useme upo namba 2 Afrika kwa uzalishaji wa mahindi Afrika bila ushahidi wa ku back up takwimu unazotoa? Unataka tuamini ni rahisi hivyo?Yaani Nchi yeyote inaweza tu kupika data na zikakubaliwa?
Shirikisha ubongo unapoandika upuuzi wako ili utakachoandika kilete mantiki.
Upinzani sio kujitoa fahamu.
Acha jazba, data za kupika zisikufanye uwe na jazba kali kiasi hicho.
 
Nawakumbusha tuu Baadhi ya mambo ambayo Serikali ya Rais Samia imeyafanya kwenye Kilimo Ili Kuzalisha Kwa Wingi na Kwa Tija. Soma zaidi hapa Tanzania Yaipiku Nigeria Kama Mzalishaji namba 2 wa Mahindi Afrika.Maono ya Rais Samia Kufanya 🇹🇿 Ghala La Chakula Afrika Kutimia.

1. Imetoa ruzuku ya mbolea na pembejeo Kwa miaka 3

2. Imeonheza Bajeti ya Kilimo mara dufu

3. Imejenga na inajenga zaidi ya hactares 500k za irrigation

4. Imeajiri maelfu ya Wataalamu wa Kilimo kuanzia Maafisa Ugani Hadi wahandisi.

5. Imeongeza Bajeti ya Utafiti Kwa Wataalamu.

6. Imenunua Vitendea kazi wa Wataalamu wa Kilimo kuanzia magari,pikipiki,vipima udongo,vishwambi nk

7. Imefufua na kuimarisha Tume ya Umwagiliaji

8. Imetafutia masoko ya bidhaa mbalimbali za Kilimo wakulima

9. Inanunua mazao ya wakulima,eg NFRA &CPB ndio soko kuu la mahindi ya Wakulima

10. Imejenga na inaendelea na ujenzi wa maghala ya kuhifadhia mazao Ili walau iwe na uwezo wa kutunza tani mil.3 za nafaka.

11. Imeanzisha mradi wa BBT Kilimo,mifugo,Uvuvi,Madini nk.

12. Inatoa mbolea mbegu za mazao Bure eg Korosho,ngano ,Chikichi nk

13. Ameanzisha mfumo wa Mauzo ya mazao kimtandao Tanzania Merchandile Exchange "TMX" hakuna makanjanja tena au madalali.

14. Ameanzisha mnad wa Chai ndani ya Nchi,hakuna Kupeleka Mombasa

15. Tanzania Kwa Sasa ni namba 2 wa Kuzalisha tumbaku na Korosho Afrika

16. Ameimarisha bei za mazao yote

17. Ameongeza mtaji wa Benki ya Kilimo ,Sasa pesa zipo na wakulima wanakopa.kwa riba nafuu.

18. Amepunguza riba za mikopo kwenye Kilimo kutoka 18% Hadi 9%

19. Ameanzisha programu ya Kusambaza matrekta 10,000 Kwa wakulima "Mechanisation drive"

20. Amerejwsha maonesho ya Kilimo Nanenane Kwa kuyafanya ya Kimataifa na Kujenga Viwanja vya Maonesho vya Kimataifa Dodoma na Mbeya.

Pia soma Miaka 3 ya Rais Samia, Mageuzi ya Kilimo cha Korosho yaleta neema. Uzalishaji waongezeka mara 2, Wakulima wavuna Trilioni 1.1, haijawahi tokea

View: https://youtu.be/tqvtrPSCl0U?feature=shared

My Take
Nawakumbusha tuu Rais Samia ni Game Changer wa Uchumi wa 🇹🇿 na ataendelea kuweka na kuvunja rekodi zake mwenyewe.

Haters mnaitwa kutoa povu ila ndio hivyo Samia ameshindikana.


View: https://www.instagram.com/p/DFo2hQloxmP/?igsh=YzhyYnkzeXI0dDF5

Ile Ndogo ya Rais Samia ya Kufanya Tanzania kuwa Ghala la Chakula Cha kulisha Afrika inaenda kutimia. Waweza soma hapa pia Bashe: Rais hataki utani, amedhamiria kuleta mapinduzi ya kilimo kupitia umwagiliaji

View: https://www.instagram.com/reel/DFU1P6riddR/?igsh=MTJmd3k0cTcyMDd0NA==

1980s Rodrick Mahenge alikuwa analima Mahindi ya kulisha Africa nzima Nyerere akamjengea Kihenge NMC pale karibu na kwa akina Pindi Chana 😂😂

Kitambo sana 🐼
 
Acha jazba, data za kupika zisikufanye uwe na jazba kali kiasi hicho.
Huna hoja.Data za kupika? Ungeleta zako za ukweli. Takwimu hupingwa kwa takwimu.
Unapopinga jambo leta ushahidi kwamba hilo unalopinga sio kweli.Bila kufanya hivyo unadhihirisha ujinga wako tu na chuki zinazotawala uwezo wako mdogo wa kufikiri.
 
Back
Top Bottom