Uwekezaji wenye kuleta mtaji kamili

Kajole

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2011
Posts
1,668
Reaction score
1,643
Wakuu habari?,
Nina ndoto za kuwa mfugaji wa kuku wa kienyeji lakini tatizo ni mtaji.
nimeamua kuweka angalau 10,000/= kila siku kwa miezi 6 ili niwe na mtaji wa kutimiza ndoto zangu,sasa basi wadau naomba kujulishwa haya:
1. ni wapi niweke pesa yangu ili baada ya kipindi hicho niweze kupata mkopo dhaman ikiwa ni huo mzunguko wa pesa yangu.
2. hapo ntakapoweka riba zipoje?
asanteni sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…