Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,668
- 1,643
Wakuu habari?,
Nina ndoto za kuwa mfugaji wa kuku wa kienyeji lakini tatizo ni mtaji.
nimeamua kuweka angalau 10,000/= kila siku kwa miezi 6 ili niwe na mtaji wa kutimiza ndoto zangu,sasa basi wadau naomba kujulishwa haya:
1. ni wapi niweke pesa yangu ili baada ya kipindi hicho niweze kupata mkopo dhaman ikiwa ni huo mzunguko wa pesa yangu.
2. hapo ntakapoweka riba zipoje?
asanteni sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina ndoto za kuwa mfugaji wa kuku wa kienyeji lakini tatizo ni mtaji.
nimeamua kuweka angalau 10,000/= kila siku kwa miezi 6 ili niwe na mtaji wa kutimiza ndoto zangu,sasa basi wadau naomba kujulishwa haya:
1. ni wapi niweke pesa yangu ili baada ya kipindi hicho niweze kupata mkopo dhaman ikiwa ni huo mzunguko wa pesa yangu.
2. hapo ntakapoweka riba zipoje?
asanteni sana
Sent using Jamii Forums mobile app