C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,074
- 3,743
wakuu habari zenu??
Aisee nimekuwa nikifuatilia kwa siku nyingi swala la sisi waafrica kuwa na payment system yetu kama visa na mastercard na sisi tukawa na system yetu ya payment kama vile jamiicard ikawa ina work kwenye ma benki yote ya wazawa afrika iwapo benki za magharibi wakitunyima ruhusa ya jamii card ku work katika benki zao ...
Mfano tembocard si wana tembocard visa na tembocard mastercard so i think wanaweza kuwa na tembocard "JamiiCard"
Hii idea kwa juu juu unaweza sema haiwezekani ila ni bonge la idea na inawezekana iwapo ukaweka mchango wako hapa.....
Karibu katika kuchangia....
Business hii
Aisee nimekuwa nikifuatilia kwa siku nyingi swala la sisi waafrica kuwa na payment system yetu kama visa na mastercard na sisi tukawa na system yetu ya payment kama vile jamiicard ikawa ina work kwenye ma benki yote ya wazawa afrika iwapo benki za magharibi wakitunyima ruhusa ya jamii card ku work katika benki zao ...
Mfano tembocard si wana tembocard visa na tembocard mastercard so i think wanaweza kuwa na tembocard "JamiiCard"
Hii idea kwa juu juu unaweza sema haiwezekani ila ni bonge la idea na inawezekana iwapo ukaweka mchango wako hapa.....
Karibu katika kuchangia....
Business hii