Smart Technician
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 653
- 824
habari wajna jamii forum
naomba msaada kwa wale wataalamu wa geology na petroleum engineering .
katika eneo nililopo kwa sasa bondeni kidogo kuna chemchem na maji yanapotoka hutoka na kitu kama mafuta huelea juu ya maji nakufanya maji kua na layer juu ya rangi kama umemwaga mafuta
pia sehemu nyingine maji yanatoka yakiwa meusi hadi kufanya ardhi kua na weusi kama oil chafu imemwagwa
eneo lenyewe lipo bondeni chini hivyo nauliza yaweza kua ni mojawapo ya sababu ya uwepo wa mafuta ? ili nimtafute mtalam wa hii field
naomba msaada kwa wale wataalamu wa geology na petroleum engineering .
katika eneo nililopo kwa sasa bondeni kidogo kuna chemchem na maji yanapotoka hutoka na kitu kama mafuta huelea juu ya maji nakufanya maji kua na layer juu ya rangi kama umemwaga mafuta
pia sehemu nyingine maji yanatoka yakiwa meusi hadi kufanya ardhi kua na weusi kama oil chafu imemwagwa
eneo lenyewe lipo bondeni chini hivyo nauliza yaweza kua ni mojawapo ya sababu ya uwepo wa mafuta ? ili nimtafute mtalam wa hii field