Uwepo wa Manula Simba sc inatengeneza mazingira magumu ya ufanyaji kazi kwa Camara

Uwepo wa Manula Simba sc inatengeneza mazingira magumu ya ufanyaji kazi kwa Camara

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!

Ukweli ni kwamba usaliti ni tabia na tabia ni kama ngozi, Simba sc wanatatizo kubwa sana kwenye uongozi, kitendo cha kutompa mkono wa Thank you Manula mpaka sasa ni ishara wa uwepo wa uongozi dhaifu na wakutojitambua kwenye club ya Simba.

Manula kuna tuhuma za usaliti dhidi ya club yake,na amekua akitumika kama wakala wa kuratibu usaliti kwenye club ya Simba kutoka kwenye club ya Yanga na vilabu vingine.

Sasa mtu huyu sio mtu wa kuendelea kuwa naye karibu na hata kuwepo kwenye club ya Simba, anastahili atimuliwe mara moja kwa usalama wa club na wachezaji wake.

Sasa ipo hivi huyu manula hafurahishi hata kidogo na ubora na uimara wa Camara katika club Simba sc, hivyo kwatabia ya manula tu inaonekana yupo tayari kuwarubuni wenzake kwa njia tofauti tofauti ili washindwe au wakose wote.

NB: Atawaendea hata kwa waganga wenzeke ili wakimbie wenyewe kwenye club au waumie,au washuke viwango kabisa.

Huyu mtu aondoke haraka

Soma Pia: Nawaonya Uongozi wa Simba SC huyu Kipa Aishi Manula karejea Kambini kwa Shingo Upande, hivyo msimuamini kabisa kwa Kumpanga kwani atatuumiza pakubwa
 
Hilo mbona ni suala la muda tu.Camara na Salim ni magolikipa wazuri ila huyo manula uwepo wake simba utawagarimu tena. Mechi watakayo cheza na Yanga atafanya kila namna adake na hapo ndipo watu hawatoamini.
 
Umeandika upuuzi
Manura yupo simba ana mkataba
Analipwa bonus timu ikifanya vizuri
Anaumia mazoezini ili kujiweka sawa
Mpira ni kazi yake
Hawezi kuuza mechi, acha hisia dogo
Kwani lazima achèze Simba sc aende Yanga basi
 
Manula ana mkataba wa mwaka mmoja Simba...

Tumeona hoja yako na kwakweli tumeguswa...

Haiwezekani mtu alipwe mishahara na bonus na bado atusaliti, haiwezekani kabisa...

Sasa tunaomba utuchangie pesa ya kumvunjia mkataba ili tumwondoe mala moja..
 
Manula ana mkataba wa mwaka mmoja Simba...

Tumeona hoja yako na kwakweli tumeguswa...

Haiwezekani mtu alipwe mishahara na bonus na bado atusaliti, haiwezekani kabisa...

Sasa tunaomba utuchangie pesa ya kumvunjia mkataba ili tumwondoe mala moja..
Hilo mbona ni jambo dogo..wafanye declaration kweye public nijitokeze kumuondoa huyo kungunguni
 
Hapo vip!

Ukweli ni kwamba usaliti ni tabia na tabia ni kama ngozi, Simba sc wanatatizo kubwa sana kwenye uongozi, kitendo cha kutompa mkono wa Thank you Manula mpaka sasa ni ishara wa uwepo wa uongozi dhaifu na wakutojitambua kwenye club ya Simba.

Manula kuna tuhuma za usaliti dhidi ya club yake,na amekua akitumika kama wakala wa kuratibu usaliti kwenye club ya Simba kutoka kwenye club ya Yanga na vilabu vingine.

Sasa mtu huyu sio mtu wa kuendelea kuwa naye karibu na hata kuwepo kwenye club ya Simba, anastahili atimuliwe mara moja kwa usalama wa club na wachezaji wake.

Sasa ipo hivi huyu manula hafurahishi hata kidogo na ubora na uimara wa Camara katika club Simba sc, hivyo kwatabia ya manula tu inaonekana yupo tayari kuwarubuni wenzake kwa njia tofauti tofauti ili washindwe au wakose wote.

NB: Atawaendea hata kwa waganga wenzeke ili wakimbie wenyewe kwenye club au waumie,au washuke viwango kabisa.

Huyu mtu aondoke haraka
Juzi kadaka sana ameshajua mtaani kugumu sana,amebakisha miezi mkataba uishe so relax
 
Kuna ushahidi wa hizo tuhuma?

Kama zipo kwanini isifunguliwe kesi TAKUKURU?

kama hamna ushahidi hauoni kama mnampakazia mtu tuhuma msiyokuwa na ushahidi nao?
Binafsi siamini hizo tuhuma ila ninachoamini Manula hakustahili kuendelea kuwa Simba, jeraha limemletea shida hadi kiwango kupotea
 
Back
Top Bottom