Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Makolo wanaruka na kukanyagana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo ya usaliti mnayatoaga wapi? Yaani mwanaume mzima unaandika umbeya? Au wewe ni mdada?Hapo vip!
Ukweli ni kwamba usaliti ni tabia na tabia ni kama ngozi, Simba sc wanatatizo kubwa sana kwenye uongozi, kitendo cha kutompa mkono wa Thank you Manula mpaka sasa ni ishara wa uwepo wa uongozi dhaifu na wakutojitambua kwenye club ya Simba.
Manula kuna tuhuma za usaliti dhidi ya club yake,na amekua akitumika kama wakala wa kuratibu usaliti kwenye club ya Simba kutoka kwenye club ya Yanga na vilabu vingine.
Sasa mtu huyu sio mtu wa kuendelea kuwa naye karibu na hata kuwepo kwenye club ya Simba, anastahili atimuliwe mara moja kwa usalama wa club na wachezaji wake.
Sasa ipo hivi huyu manula hafurahishi hata kidogo na ubora na uimara wa Camara katika club Simba sc, hivyo kwatabia ya manula tu inaonekana yupo tayari kuwarubuni wenzake kwa njia tofauti tofauti ili washindwe au wakose wote.
NB: Atawaendea hata kwa waganga wenzeke ili wakimbie wenyewe kwenye club au waumie,au washuke viwango kabisa.
Huyu mtu aondoke haraka
Na wewe umeingia kwenye huo mkumbo?Hilo super market lidake friendly match na mazoezi tu. Uto wana mbinu wanaweza kumnunua hata kupitia mechi na Mashujaa
Ni hivi club ya Simba inachukua kibunda alafu mchezaji anaenda kulipwa kule kwenye club mpya kwa utaratibu mwingine,kuna uwezekano wa hiyo percent kukosekana.Kwani akienda kwa mkopo atakuwa halipwi mshahara?
Waliotakiwa kuwajibishwa kwenye hiyo mechi ni viongozi Ila wakaamua kucheza na akili za washabiki wakadai Kuna wachezaji wameuza mechi.Hapo vip!
Ukweli ni kwamba usaliti ni tabia na tabia ni kama ngozi, Simba sc wanatatizo kubwa sana kwenye uongozi, kitendo cha kutompa mkono wa Thank you Manula mpaka sasa ni ishara wa uwepo wa uongozi dhaifu na wakutojitambua kwenye club ya Simba.
Manula kuna tuhuma za usaliti dhidi ya club yake,na amekua akitumika kama wakala wa kuratibu usaliti kwenye club ya Simba kutoka kwenye club ya Yanga na vilabu vingine.
Sasa mtu huyu sio mtu wa kuendelea kuwa naye karibu na hata kuwepo kwenye club ya Simba, anastahili atimuliwe mara moja kwa usalama wa club na wachezaji wake.
Sasa ipo hivi huyu manula hafurahishi hata kidogo na ubora na uimara wa Camara katika club Simba sc, hivyo kwatabia ya manula tu inaonekana yupo tayari kuwarubuni wenzake kwa njia tofauti tofauti ili washindwe au wakose wote.
NB: Atawaendea hata kwa waganga wenzeke ili wakimbie wenyewe kwenye club au waumie,au washuke viwango kabisa.
Huyu mtu aondoke haraka
kuhusu usaliti, huo ni uwongo mkavu. Siku ya 5G, manula alisevu mikwaju mingi sana kabla ya kuelemewa.Hapo vip!
Ukweli ni kwamba usaliti ni tabia na tabia ni kama ngozi, Simba sc wanatatizo kubwa sana kwenye uongozi, kitendo cha kutompa mkono wa Thank you Manula mpaka sasa ni ishara wa uwepo wa uongozi dhaifu na wakutojitambua kwenye club ya Simba.
Manula kuna tuhuma za usaliti dhidi ya club yake,na amekua akitumika kama wakala wa kuratibu usaliti kwenye club ya Simba kutoka kwenye club ya Yanga na vilabu vingine.
Sasa mtu huyu sio mtu wa kuendelea kuwa naye karibu na hata kuwepo kwenye club ya Simba, anastahili atimuliwe mara moja kwa usalama wa club na wachezaji wake.
Sasa ipo hivi huyu manula hafurahishi hata kidogo na ubora na uimara wa Camara katika club Simba sc, hivyo kwatabia ya manula tu inaonekana yupo tayari kuwarubuni wenzake kwa njia tofauti tofauti ili washindwe au wakose wote.
NB: Atawaendea hata kwa waganga wenzeke ili wakimbie wenyewe kwenye club au waumie,au washuke viwango kabisa.
Huyu mtu aondoke haraka
kuhusu usaliti, huo ni uwongo mkavu. Siku ya 5G, manula alisevu mikwaju mingi sana kabla ya kuelemewa.
Angalia kuanzia dakika ya 5:00 uone jinsi alivyosevu mikwaju kwa kujituma
View: https://www.youtube.com/watch?v=Zdm58rfdQ1I
.
MBUMBUMBU SC.Umeandika upuuzi
Manura yupo simba ana mkataba
Analipwa bonus timu ikifanya vizuri
Anaumia mazoezini ili kujiweka sawa
Mpira ni kazi yake
Hawezi kuuza mechi, acha hisia dogo
Wakati mnachukua ubingwa mara nne mfululizo mbona mlikuwa hamumuiti DUKA!?? Timu lenu libovu mnatafuta tu pa kujifichia....Ni hivi club ya Simba inachukua kibunda alafu mchezaji anaenda kulipwa kule kwenye club mpya kwa utaratibu mwingine,kuna uwezekano wa hiyo percent kukosekana.
We kwa akili yako yanga ni nzima ..yanga inamatatizo mawili mgonjwa na mbovuWakati mnachukua ubingwa mara nne mfululizo mbona mlikuwa hamumuiti DUKA!?? Timu lenu libovu mnatafuta tu pa kujifichia....
Shida ya wabongo ni mihemko na kuendeshwa kwa hisia. Mpira unapoisha ni kawaida wachezaji kuonesha fair play. Sasa nyie mnataka mchezaji alie au anune ndio kuonesha ana machungu, inasaidia nini kwa wakati huo? Kule ulaya wachezaji wanafungwa goli saba na bado mpira ukiisha yupo comfortable tu kusalimiana na wachezaji wenzie. Mpira sio vita na chuki kama mlivyojengeka kichwani mwako.Sielewi ni kwanini, ila Manula kapoteza Imani kabisa kwa Mashabiki.
Kama atakaa golini ajue kuwa Simba isifungwe.
Yaani isipoteze hiyo Mechi.
Magoli ya Prison na Yanga msimu uliopita yamemwondolea Imani kwa washabiki wa Simba.
Ni bora abakie benchi kama Kamara Yupo fiti.
Asilazimishe kucheza, na kama anapata mshahala wake kama kawaida basi na atulie ili kulinda heshima yake.
Yanga Wana mambo mengi sana nje ya uwanja.
Siku tunafungwa 5 na Yanga, Baleke na Chama walikuwa wanashangilia huku Muhamedi Hussein na Kapombe wanalia mchozi.
Na Leo wako Yanga.
Hivi unawafunga Yanga goli 5 na mchezaji wao anashangilia baada ya mechi na wachezaji wa Simba ni nini kingetokea kwa huyo mchezaji.
Simba walitulia tu.
Yanga ni mbovu mnoooo.... Ndio maana imekukanda mara3 mfululizo na kuchukua makombe mara tatu mfululizo mbele yako timu nzuri. Haya furahi...We kwa akili yako yanga ni nzima ..yanga inamatatizo mawili mgonjwa na mbovu
Nasikia kuna skendo za nguo za Camara kipotea then zikaatika kwa manulaHilo super market lidake friendly match na mazoezi tu. Uto wana mbinu wanaweza kumnunua hata kupitia mechi na Mashujaa
Mtoa post wewe ni mjinga na mpumbavu!Hapo vip!
Ukweli ni kwamba usaliti ni tabia na tabia ni kama ngozi, Simba sc wanatatizo kubwa sana kwenye uongozi, kitendo cha kutompa mkono wa Thank you Manula mpaka sasa ni ishara wa uwepo wa uongozi dhaifu na wakutojitambua kwenye club ya Simba.
Manula kuna tuhuma za usaliti dhidi ya club yake,na amekua akitumika kama wakala wa kuratibu usaliti kwenye club ya Simba kutoka kwenye club ya Yanga na vilabu vingine.
Sasa mtu huyu sio mtu wa kuendelea kuwa naye karibu na hata kuwepo kwenye club ya Simba, anastahili atimuliwe mara moja kwa usalama wa club na wachezaji wake.
Sasa ipo hivi huyu manula hafurahishi hata kidogo na ubora na uimara wa Camara katika club Simba sc, hivyo kwatabia ya manula tu inaonekana yupo tayari kuwarubuni wenzake kwa njia tofauti tofauti ili washindwe au wakose wote.
NB: Atawaendea hata kwa waganga wenzeke ili wakimbie wenyewe kwenye club au waumie,au washuke viwango kabisa.
Huyu mtu aondoke haraka
Soma Pia: Nawaonya Uongozi wa Simba SC huyu Kipa Aishi Manula karejea Kambini kwa Shingo Upande, hivyo msimuamini kabisa kwa Kumpanga kwani atatuumiza pakubwa
Sasa hapo hamjapakwa Mafuta kwenye Mata ya Koo yenu, je mkipakwa si mutazidi kutoa Ushuzi!!?Hapo vip!
Ukweli ni kwamba usaliti ni tabia na tabia ni kama ngozi, Simba sc wanatatizo kubwa sana kwenye uongozi, kitendo cha kutompa mkono wa Thank you Manula mpaka sasa ni ishara wa uwepo wa uongozi dhaifu na wakutojitambua kwenye club ya Simba.
Manula kuna tuhuma za usaliti dhidi ya club yake,na amekua akitumika kama wakala wa kuratibu usaliti kwenye club ya Simba kutoka kwenye club ya Yanga na vilabu vingine.
Sasa mtu huyu sio mtu wa kuendelea kuwa naye karibu na hata kuwepo kwenye club ya Simba, anastahili atimuliwe mara moja kwa usalama wa club na wachezaji wake.
Sasa ipo hivi huyu manula hafurahishi hata kidogo na ubora na uimara wa Camara katika club Simba sc, hivyo kwatabia ya manula tu inaonekana yupo tayari kuwarubuni wenzake kwa njia tofauti tofauti ili washindwe au wakose wote.
NB: Atawaendea hata kwa waganga wenzeke ili wakimbie wenyewe kwenye club au waumie,au washuke viwango kabisa.
Huyu mtu aondoke haraka
Soma Pia: Nawaonya Uongozi wa Simba SC huyu Kipa Aishi Manula karejea Kambini kwa Shingo Upande, hivyo msimuamini kabisa kwa Kumpanga kwani atatuumiza pakubwa