fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Chama cha Mpira barani Ulaya UEFA, inaichunguza timu ya Barcelona juu ya madai ya kuilipa kampuni ya Jose Mara Enriquez Negreira ambaye ni Makamu wa Raisi mstaafu wa chama cha marefa Hispania.
Nyaraka za mahakama zinaonesha kuwa, Barcelona imelipa kiasi cha €7.3m ambayo ni sawa na paundi 6.5m kuanzia mwana 2001 mpaka 2018 kwa kampuni hiyo.
Uchunguzi huu ukikamilika inaweza kupelekea Barcelona kufungiwa kujihusha na mashindano yote yanayoandaliwa na UEFA.
Uchunguzi huu umeombwa na bodi ya uongozi UEFA na mpaka kufikia sasa uchunguzi huu umeshaanza kufanywa na waendesha mashtaka wa nchini Hispania.
Source: Sky Sports
Nyaraka za mahakama zinaonesha kuwa, Barcelona imelipa kiasi cha €7.3m ambayo ni sawa na paundi 6.5m kuanzia mwana 2001 mpaka 2018 kwa kampuni hiyo.
Uchunguzi huu ukikamilika inaweza kupelekea Barcelona kufungiwa kujihusha na mashindano yote yanayoandaliwa na UEFA.
Uchunguzi huu umeombwa na bodi ya uongozi UEFA na mpaka kufikia sasa uchunguzi huu umeshaanza kufanywa na waendesha mashtaka wa nchini Hispania.
Source: Sky Sports