Binafsi kama shabiki mkubwa wa Yanga bado namuunga mkono kocha Zahera kwa uamuzi wake wa kukataa kumrudisha kakolanya kama kipa wa Yanga.
Kitendo alichofanya hakivumiliki na kilileta madhara makubwa. Tuwe na msimamo kama Mhe. Rais. Wale wafanyabiashara wa korosho wako wapi licha ya kubembeleza mara mia. Klabu iwe na msimamao hata tusipochukua ubingwa.
Anatakiwa ajifunze.
Kitendo alichofanya hakivumiliki na kilileta madhara makubwa. Tuwe na msimamo kama Mhe. Rais. Wale wafanyabiashara wa korosho wako wapi licha ya kubembeleza mara mia. Klabu iwe na msimamao hata tusipochukua ubingwa.
Anatakiwa ajifunze.