Wakuchanja
Member
- Oct 12, 2017
- 82
- 54
Suala la kundi lenu la damu sioni likihusika kusababisha miscarriage...Habarin wanna jf,
Kama Kichwa kinavyojieleza hapo Mimi na mpenz Wang tuna blood group O+ wote sasa linakuja swala lakumtafuta mtoto je hii kitu Inawezekana?. Kwasababu tulijaribu moja mimba ilipofikia Mwez ilitoka bila sababu
Wajuzi Masada plz
Sawa mkuuSuala la kundi lenu la damu sioni likihusika kusababisha miscarriage...
Nenda kwa wataalamu wa afya ya uzazi mkafanye vipimo stahiki...