Wakuchanja
Member
- Oct 12, 2017
- 82
- 54
Habarini wana jf,
Kama Kichwa kinavyojieleza hapo mimi na mpenzi wangu tuna blood group O+ wote sasa linakuja swala lakumtafuta mtoto je hii kitu inawezekana? kwasababu tulijaribu moja mimba ilipofikia mwezi ilitoka bila sababu
Wajuzi Masada plz
Kama Kichwa kinavyojieleza hapo mimi na mpenzi wangu tuna blood group O+ wote sasa linakuja swala lakumtafuta mtoto je hii kitu inawezekana? kwasababu tulijaribu moja mimba ilipofikia mwezi ilitoka bila sababu
Wajuzi Masada plz