Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

Chadema uwezo mdogo sana yaani mmeamishwa kwamba 2020 mwisho wa JPM duuuuuu ana kweli mtu akiingia kingi draft linanoga maana adui anasukuma kete hovyo hovyo. Haya hongera kwa ushindi kabla hata ya kipenga.
 
Unaota mchana.. sema kubadili katiba 2025 aendelee kutawala hilo ndilo halipo.
Huyo ni great thinker. Mpinge kwa hoja acha kuweweseka. Taja kitakachomzuia kubadili katiba. Amehakikisha amejizungushia ukuta wa tawire watupu!
Don't brush aside this great thinker so easily. Hii leo tunayotambua kama sayansi na teknolojia ilianza kama science fiction!
 
Siku hizi hakuna cha ushawishi. Ni kuunga mkono "juhudi".
Kama hutaki, jiandae kupotezwa na anajua tukivyo waoga. Nguvu itatumika. Ndiyo tegemeo lake.
 
Sijabisha. Inawezekana wewe ni daktari... Daktari huwa hawezi kusema kuwa mtu fulani ataondoka hata kama dalili ziko wazi wazi...
Zaidi ya hilo nakushauri muulize Bi Celina Kombani kuhusu Lowassa kusababisha msiba wa kitaifa. Akichelewa kujibu, Mtikila anaweza kumjibia! Kuna wimbo wa Kizaramo: Kafa daktari kabaki mgonjwa.
 
Ni Nani ataongoza vikao vya kufanya maamuzi makubwa? Ni Nani kiongozi mkuu kwa vyombo vya dola na anayepata habari zote nyeti za Kila siku kuhusu Hali ya nchi kijamii, kuuchumi, kisiasa. Na kiusalama??!!
 
Chadema uwezo mdogo sana yaani mmeamishwa kwamba 2020 mwisho wa JPM duuuuuu ana kweli mtu akiingia kingi draft linanoga maana adui anasukuma kete hovyo hovyo. Haya hongera kwa ushindi kabla hata ya kipenga.
Kwanini asishindwe.
 
Ukweli mtupu , kwa sass tegemeo kuu la Magufuri Ni maafisa vipenyo walitapakazwa tume ya uchaguzi .
 
Mkuu umenichekesha sana,sasa asipoongoza yeye ataongoza nani!
Wananchi hawataki wagombea ambao hawajui shida zao; wagombea ambao wanaonekana kipindi cha kampeni tu. JPM analazimisha wananchi kuchagua ccm kwa nguvu, haiwezekani.
Mwananchi jua wewe ndio mwenye nguvu kipindi hiki, zitumie nguvu zako vizuri kuleta mabadiliko.
Ikatae ccm
 
Ukweli mtupu , kwa sass tegemeo kuu la Magufuri Ni maafisa vipenyo walitapakazwa tume ya uchaguzi .
 
Mungu kamleta ili ccm ife, tuliwaambia ccm mgombea wao hauziki, labda udiwani
 
Ukweli mtupu , kwa sass tegemeo kuu la Magufuri Ni maafisa vipenyo walitapakazwa tume ya uchaguzi .
Kawachafua nyongo kasema awaongezi mishahara Sasa Wana kipi Cha kujichosha thus hata polisi wamevunjika moyo.
Tujaribu upinzani nao tuwaone 5 yrs wakifeli tuwape ccm milele
 
Mzee mawe alifaa kutawala miaka ya 70 na sio dotcom Ni mweupe kuhusu modern world, dunia ya Sasa kizazi cha sasa kujua kinataka nn
 
DAY DREAM PLUS DOUBLE KICK SPIRITY
 
Halafu eti mnasema kuna TISS. Labda kama ni Warundi na Wanyarwanda. Siro naye nahisi siyo Mtanzania. Watanzania hatunaga maroho ya kuzimu sisi.
 
Ya Zamani Hii...

Nyenyee Nyenyeee Nyingiii....

Jakaya Kikwete Anakwenda Kuweka Kambi Lindi Pamoja Na Nape Nnauye Kumuombea KURA MAGUFULI....

Lowassa,Mwanaye Fredy na Comrade Kinana WANAUWASHA MOTO mikoa ya Kaskazini.......

January Makamba Na Babake Wataitambaa Tanga Na Pwani.....

Kipindi Hiki CCM ni MOJA iko COMPACT vya KUTOSHA kwani Ikiondoka,Haitakuwa Faida ya YEYOTE wa HAYO MAKUNDI USEMAYO......

#Tunapita kwanza kwenye huu Uchaguzi,mengine tutakutana nayo huko MBELE.
#Magufuli Apite Kwanza,mengine tutakutana nayo huko MBELE.

👉Zimwi likujualo>Mchague MAGUFULI.
👉Zimwi likujualo>Ichague CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…